Kikwete awaonya viongozi wa dini
Na Kadama Malunde, Shinyanga
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kutoruhusu siasa kufanyika kwenye makanisa yao kwani hali hiyo italifanya taifa liingie kwenye machafuko.
Aliyasema hayo jana wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu mpya wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Liberatus Sangu, iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mama Mwenye Huruma la Ngokolo mjini hapa na kuongozwa na Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo.
Rais Kikwete...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Kikwete na viongozi wa dini
“TUNATAKA katiba ya nchi na si ya chama chochote,” alisikika akisema Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro wakati anaapishwa. Je, maneno hayo ni kutoka moyoni au mdomoni? Ni kweli katiba tunayoitaka si...
10 years ago
Habarileo11 Jan
Kikwete awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kote nchini kuhakikisha wanasimamia na kuhubiri amani ili kufanikisha upigaji kura wa Katiba Inayopendekezwa unaofanyika Aprili mwaka huu.
10 years ago
Habarileo29 Jun
Rais Kikwete awapa wosia wa amani viongozi wa dini
RAIS Jakaya Kikwete amewaomba viongozi wa dini nchini kuendeleza hali ya amani na utulivu uliopo nchini kwa kuhakikisha kuwa nchi inabaki na amani, kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25, mwaka huu, 2015.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Ve1186BzHbA/VIjvGQGUp3I/AAAAAAADRRY/r8adZ5ud1M8/s72-c/D92A7929.jpg)
Viongozi wa Dini Mbalimbali wamuombea dua Rais Kikwete ikulu
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ve1186BzHbA/VIjvGQGUp3I/AAAAAAADRRY/r8adZ5ud1M8/s1600/D92A7929.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t7eF0peDFnk/VIju2MBimSI/AAAAAAADRRE/rvIqroUkqBs/s1600/D92A8014.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aWeOgDrrG98/VIju2MWC5EI/AAAAAAADRRA/ZAM0nq3azVc/s1600/D92A8062.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga7hgJKXay8/VIju2JeUwTI/AAAAAAADRRI/BGSwOWLPE3I/s1600/D92A7966.jpg)
Picha ya pamoja(picha na Freddy Maro)
10 years ago
Michuzi07 Oct
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA VIONGOZI WA DINI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/YG9fpfre7216gfR8hl0brElWGclL8yTFjfPWKU1aZu5I1K8p00_6FqUhKgg7P_m_j35dmOFCOrSUdoa4Ha_l3oe9hJpXOvM9E4QmohLH33_NfJqBcLHe8s38kOgMZNGmmCZQaLdEkgLcF9-TW7oi47XICBlHs2R3wuNNjHd0iLQm1Ng5yCkA2Hld_LeJxCeHxbSHoLX2-IRj0LwMV0hNcvv0x2QWNibWCZ_1Vaxk7i98uQIbPfGpr6118Np2N2ckBK5DNbn0Yx11-rEMbPKcztich_3hJtYZDd1shE3nb7ernyHW84y_eo2ArrP_elEcj3smxJOQJM6pjg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-9JzHE6Ihk94%2FVDMbBo2yUbI%2FAAAAAAAGoZw%2FZ0uIueYh9QE%2Fs1600%2Fd5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na kuleta amani na maelewano nchini katika hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam. Mkutano huo wa siku nne ulioanza jana unajulikana kama Tanzania Christian & Muslim Religious Leaders’ Initiative for Peace and Co-existence.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/IFeaqVtMWq29dR-nNK2uqdW-eYauBH2gBMGe4SJoA-SUsA4jOawCJLgvYYMDQM_MnJ-L6tRlJ4Npd_96q9CO3BnGNHahCJM8HtKpjJ2xT22BCodDrjR9dY5GpD5UPEOGGNstSEbyyzj-Vwz91i33nesLrFloM0AfAN1q2193UzfzSqq48XZ1NmFFK2JbiPM6vIRlsbWsjbAJgfkCCZl-Ipqj1kgFbpyHcWTu2Eydfb7sN7I7maxr2GxyXj3stKonEIQqMBFQLbBQFgmhW6kOycsvMZRMGOb57JpaoBqPauMglbCr4t-ReCANkvWlTAyNX2pAi_O1G4CE3A=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-ptchrLZ1pOg%2FVDMcKGLqAfI%2FAAAAAAAGoaY%2FzF-KLNPRJ7U%2Fs1600%2Fd7.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na kuleta...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TMz0w96JaQE/default.jpg)
RAIS KIKWETE AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA MWANZA
10 years ago
Dewji Blog03 May
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kci2AR4rUbk/VIiNJAFiIvI/AAAAAAAG2Xs/sKZGCuIi40c/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Viongozi wa Dini Mbalimbali wamuombea dua Rais Kikwete leo Ikulu, Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kci2AR4rUbk/VIiNJAFiIvI/AAAAAAAG2Xs/sKZGCuIi40c/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4rr9Cnp07w/VIiNJIA8jNI/AAAAAAAG2Xo/zU4cQrEx_b8/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rUJYchMUa3U/VIiNJ0bZCII/AAAAAAAG2X0/u8L_pnfnpYM/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKMK25NmLUGHXEQZ5GKU5JVkyvgFEfUU9K69EgUZ*pCLnxj1tKa7uQ13Gv*wnnUNIcIUR*8WQNjrxg0AMoAhDBTg/jk1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AANDAA FUTARI KWA VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU IKULU, DAR ES SALAAM