Rais Kikwete awapa wosia wa amani viongozi wa dini
RAIS Jakaya Kikwete amewaomba viongozi wa dini nchini kuendeleza hali ya amani na utulivu uliopo nchini kwa kuhakikisha kuwa nchi inabaki na amani, kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25, mwaka huu, 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TMz0w96JaQE/default.jpg)
RAIS KIKWETE AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA MWANZA
Kuona jinsi Rais Kikwete alivyoshiriki Sherehe za Mei Mosi jijini Mwanza BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog03 May
10 years ago
Habarileo11 Jan
Kikwete awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kote nchini kuhakikisha wanasimamia na kuhubiri amani ili kufanikisha upigaji kura wa Katiba Inayopendekezwa unaofanyika Aprili mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Ve1186BzHbA/VIjvGQGUp3I/AAAAAAADRRY/r8adZ5ud1M8/s72-c/D92A7929.jpg)
Viongozi wa Dini Mbalimbali wamuombea dua Rais Kikwete ikulu
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ve1186BzHbA/VIjvGQGUp3I/AAAAAAADRRY/r8adZ5ud1M8/s1600/D92A7929.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t7eF0peDFnk/VIju2MBimSI/AAAAAAADRRE/rvIqroUkqBs/s1600/D92A8014.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aWeOgDrrG98/VIju2MWC5EI/AAAAAAADRRA/ZAM0nq3azVc/s1600/D92A8062.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga7hgJKXay8/VIju2JeUwTI/AAAAAAADRRI/BGSwOWLPE3I/s1600/D92A7966.jpg)
Picha ya pamoja(picha na Freddy Maro)
10 years ago
Michuzi07 Oct
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA VIONGOZI WA DINI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/YG9fpfre7216gfR8hl0brElWGclL8yTFjfPWKU1aZu5I1K8p00_6FqUhKgg7P_m_j35dmOFCOrSUdoa4Ha_l3oe9hJpXOvM9E4QmohLH33_NfJqBcLHe8s38kOgMZNGmmCZQaLdEkgLcF9-TW7oi47XICBlHs2R3wuNNjHd0iLQm1Ng5yCkA2Hld_LeJxCeHxbSHoLX2-IRj0LwMV0hNcvv0x2QWNibWCZ_1Vaxk7i98uQIbPfGpr6118Np2N2ckBK5DNbn0Yx11-rEMbPKcztich_3hJtYZDd1shE3nb7ernyHW84y_eo2ArrP_elEcj3smxJOQJM6pjg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-9JzHE6Ihk94%2FVDMbBo2yUbI%2FAAAAAAAGoZw%2FZ0uIueYh9QE%2Fs1600%2Fd5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na kuleta amani na maelewano nchini katika hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam. Mkutano huo wa siku nne ulioanza jana unajulikana kama Tanzania Christian & Muslim Religious Leaders’ Initiative for Peace and Co-existence.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/IFeaqVtMWq29dR-nNK2uqdW-eYauBH2gBMGe4SJoA-SUsA4jOawCJLgvYYMDQM_MnJ-L6tRlJ4Npd_96q9CO3BnGNHahCJM8HtKpjJ2xT22BCodDrjR9dY5GpD5UPEOGGNstSEbyyzj-Vwz91i33nesLrFloM0AfAN1q2193UzfzSqq48XZ1NmFFK2JbiPM6vIRlsbWsjbAJgfkCCZl-Ipqj1kgFbpyHcWTu2Eydfb7sN7I7maxr2GxyXj3stKonEIQqMBFQLbBQFgmhW6kOycsvMZRMGOb57JpaoBqPauMglbCr4t-ReCANkvWlTAyNX2pAi_O1G4CE3A=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-ptchrLZ1pOg%2FVDMcKGLqAfI%2FAAAAAAAGoaY%2FzF-KLNPRJ7U%2Fs1600%2Fd7.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na kuleta...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s72-c/DSC_0129.jpg)
Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini
Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.
![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s1600/DSC_0129.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma, Askofu Joseph Mlolwa.
Alisema katika...
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania