Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini


 Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma,  Askofu Joseph  Mlolwa.
Alisema katika...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Waziri Mkuu Awapa Somo Viongozi Wa Dini Nchini


kwa Habari zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Maina awapa somo wabunge

WABUNGE wameshauriwa kuisoma na kuielewa Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya kabla ya kwenda katika Bunge la Katiba ili kuepuka kuchangia mambo tofauti na yaliyomo kwenye rasimu hiyo. Ushauri huo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sitta awapa somo Viongozi wanaojiita UKAWA

PIX 1 (1)

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo.

Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amewaadaa baadhi ya viongozi wanaojiita UKAWA kwa taarifa yao ya kutaka kumfikisha Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa kwa kuendeleza mchakato huo wa Katiba.

Kauli hiyo imetolewa leo 12 Septemba, 2014 mjini Dodoma na Mhe. Sitta kufuatia baadhi ya viongozi hao, kudai kuwa watampeleka katika mahakama hiyo.

Mhe. Sitta ameeleza...

 

11 years ago

Michuzi

CHIKAWE AWAPA SOMO VIONGOZI WA CCM NACHINGWEA LEO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akizungumza na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Kata ya Namikango, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi leo. Waziri Chikawe aliwataka viongozi hao kuwa na umoja ili kukipa nguvu chama chao hasa katika kipindi hiki wanapoelekea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambapo kila mwanachama wa chama hicho alisisitizwa kuchukua fomu wakati muda utakapofika wa kuchukua fomu hizo. Uchaguzi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda awapa somo viongozi wa Mbeya kurudisha heshima ya elimu

Hivi karibuni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliwaagiza viongozi wa mkoa, wilaya na halmashauri zote mkoani Mbeya kujipanga kwa lengo la kurudisha heshima ya Mkoa wa Mbeya katika sekta ya elimu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa dini waipa somo serikali

SERIKALI imetakiwa kuwapa kipaumbele watu waliopo katika maeneo kunapogundulika rasilimali ili waweze kunufaika na rasilimali hizo. Wito huo ulitolewa mjini hapa jana na Sheikh Abubakar Zuberi kwa niaba ya Baraza...

 

10 years ago

Habarileo

Rais Kikwete awapa wosia wa amani viongozi wa dini

Rais Jakaya Kikwete akiwa na Balozi wa Vatican, Askofu Mkuu Fransisco Padilla (kushoto), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kulia) na Kaimu Mufti wa Tanzania, Shehe Abubakar Zubeir. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete amewaomba viongozi wa dini nchini kuendeleza hali ya amani na utulivu uliopo nchini kwa kuhakikisha kuwa nchi inabaki na amani, kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25, mwaka huu, 2015.

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Dar
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...

 

11 years ago

Habarileo

Mwandosya ataka somo la mauaji ya kimbari shuleni

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya amesema Tanzania haina budi kuanzisha somo la mauaji ya kimbari kuanzia shule za awali, msingi hadi vyuo vikuu. Alisema kitendo hicho kitasaidia kuelimisha kizazi kijacho madhara ya yaliyotokea kwa majirani zetu na namna ya kuepukana nayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani