Waziri Mkuu Awapa Somo Viongozi Wa Dini Nchini
![](http://img.youtube.com/vi/XQNHuvzYVUY/default.jpg)
kwa Habari zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s72-c/DSC_0129.jpg)
Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini
Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.
![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s1600/DSC_0129.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma, Askofu Joseph Mlolwa.
Alisema katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA DINI JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Sitta awapa somo Viongozi wanaojiita UKAWA
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo.
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amewaadaa baadhi ya viongozi wanaojiita UKAWA kwa taarifa yao ya kutaka kumfikisha Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa kwa kuendeleza mchakato huo wa Katiba.
Kauli hiyo imetolewa leo 12 Septemba, 2014 mjini Dodoma na Mhe. Sitta kufuatia baadhi ya viongozi hao, kudai kuwa watampeleka katika mahakama hiyo.
Mhe. Sitta ameeleza...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHUDIA VIONGOZI WA TAASISI ZA DINI WAKITIA SAINI
10 years ago
Vijimambo03 Nov
WAZIRI NYALANDU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KUKEMEA UJANGILI NCHINI.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/nyalandu-jan23-2014.jpg)
Na Anitha Jonas – Maelezo.03 Novemba, 2014.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini wote nchini kupaza sauti kwa pamoja kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira nchini.
Wito huo ameutoa leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa viongozi wa dini unaolenga kuwaelimisha viongozi hao kutoa elimu kwa waumini wao juu ya kupinga suala la ujangili na kuwasihi juu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3zQUIvKqXBA/U81MDmr8GOI/AAAAAAAF4cE/Oh0W3Qxo1dM/s72-c/unnamed+(53).jpg)
CHIKAWE AWAPA SOMO VIONGOZI WA CCM NACHINGWEA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3zQUIvKqXBA/U81MDmr8GOI/AAAAAAAF4cE/Oh0W3Qxo1dM/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3YcGxLXGHwA/VDqO9KoW-TI/AAAAAAAGpjY/H-ZRK8wmwc4/s72-c/8.jpg)
Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mechi ya viongozi wa dini jijini dar leo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3YcGxLXGHwA/VDqO9KoW-TI/AAAAAAAGpjY/H-ZRK8wmwc4/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HgEg_Q-l3Tg/VDqO9by3EeI/AAAAAAAGpjc/eUWG9lKlllw/s1600/9.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Pinda awapa somo viongozi wa Mbeya kurudisha heshima ya elimu