Pinda awapa somo viongozi wa Mbeya kurudisha heshima ya elimu
Hivi karibuni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliwaagiza viongozi wa mkoa, wilaya na halmashauri zote mkoani Mbeya kujipanga kwa lengo la kurudisha heshima ya Mkoa wa Mbeya katika sekta ya elimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s72-c/DSC_0129.jpg)
Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini
Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.
![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s1600/DSC_0129.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma, Askofu Joseph Mlolwa.
Alisema katika...
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Sitta awapa somo Viongozi wanaojiita UKAWA
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo.
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amewaadaa baadhi ya viongozi wanaojiita UKAWA kwa taarifa yao ya kutaka kumfikisha Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa kwa kuendeleza mchakato huo wa Katiba.
Kauli hiyo imetolewa leo 12 Septemba, 2014 mjini Dodoma na Mhe. Sitta kufuatia baadhi ya viongozi hao, kudai kuwa watampeleka katika mahakama hiyo.
Mhe. Sitta ameeleza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3zQUIvKqXBA/U81MDmr8GOI/AAAAAAAF4cE/Oh0W3Qxo1dM/s72-c/unnamed+(53).jpg)
CHIKAWE AWAPA SOMO VIONGOZI WA CCM NACHINGWEA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3zQUIvKqXBA/U81MDmr8GOI/AAAAAAAF4cE/Oh0W3Qxo1dM/s1600/unnamed+(53).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XQNHuvzYVUY/default.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Jul
Shirikisho Elimu ya Juu lawapa somo viongozi wa mikoa CCM
SHIRIKISHO la vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) limelaani baadhi ya viongozi wa mikoa wa chama hicho, kujitokeza hadharani kuwasaidia kwa kuwanadi baadhi ya watia nia ya kugombea urais huku wakiwaacha wengine na kusema kwamba jambo hilo lilikuwa si la busara.
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Phiri kurudisha heshima Simba
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.
Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.
Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Msechu awapa somo Wakinga
WENYEJI wa Makete mkoani Njombe wanaoishi sehemu mbalimbali nchini, wamekumbushwa wajibu waliyonao katika kuiendeleza Wilaya hiyo ili ikue kiuchumi. Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba...
10 years ago
Habarileo12 Feb
Spika awapa somo wabunge
SPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Daniel Kidega amewataka wabunge na watunga Sheria kuwajibika, kushiriki kikamilifu katika maendeleo baada ya kuifikia ajenda ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia 2015.
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Mwigulu awapa somo wafanyabiashara
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akifungua semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) leo jijini Dar es salaam.
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba, amewataka wafanyabiasha nchini, kutengeneza miradi ambayo inatambulika ili iwe rahisi kukopeshwa fedha.
Aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati wa kufungua semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo Mashariki na...