Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda awapa somo viongozi wa Mbeya kurudisha heshima ya elimu

Hivi karibuni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliwaagiza viongozi wa mkoa, wilaya na halmashauri zote mkoani Mbeya kujipanga kwa lengo la kurudisha heshima ya Mkoa wa Mbeya katika sekta ya elimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini


 Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma,  Askofu Joseph  Mlolwa.
Alisema katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sitta awapa somo Viongozi wanaojiita UKAWA

PIX 1 (1)

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo.

Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amewaadaa baadhi ya viongozi wanaojiita UKAWA kwa taarifa yao ya kutaka kumfikisha Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa kwa kuendeleza mchakato huo wa Katiba.

Kauli hiyo imetolewa leo 12 Septemba, 2014 mjini Dodoma na Mhe. Sitta kufuatia baadhi ya viongozi hao, kudai kuwa watampeleka katika mahakama hiyo.

Mhe. Sitta ameeleza...

 

11 years ago

Michuzi

CHIKAWE AWAPA SOMO VIONGOZI WA CCM NACHINGWEA LEO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akizungumza na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Kata ya Namikango, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi leo. Waziri Chikawe aliwataka viongozi hao kuwa na umoja ili kukipa nguvu chama chao hasa katika kipindi hiki wanapoelekea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambapo kila mwanachama wa chama hicho alisisitizwa kuchukua fomu wakati muda utakapofika wa kuchukua fomu hizo. Uchaguzi wa...

 

9 years ago

Michuzi

Waziri Mkuu Awapa Somo Viongozi Wa Dini Nchini


kwa Habari zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Habarileo

Shirikisho Elimu ya Juu lawapa somo viongozi wa mikoa CCM

SHIRIKISHO la vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) limelaani baadhi ya viongozi wa mikoa wa chama hicho, kujitokeza hadharani kuwasaidia kwa kuwanadi baadhi ya watia nia ya kugombea urais huku wakiwaacha wengine na kusema kwamba jambo hilo lilikuwa si la busara.

 

10 years ago

Mtanzania

Phiri kurudisha heshima Simba

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA JENNIFER ULLEMBO

KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.

Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.

Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msechu awapa somo Wakinga

WENYEJI wa Makete mkoani Njombe wanaoishi sehemu mbalimbali nchini, wamekumbushwa wajibu waliyonao katika kuiendeleza Wilaya hiyo ili ikue kiuchumi. Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba...

 

10 years ago

Habarileo

Spika awapa somo wabunge

Spika wa EALA, Daniel KidegaSPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Daniel Kidega amewataka wabunge na watunga Sheria kuwajibika, kushiriki kikamilifu katika maendeleo baada ya kuifikia ajenda ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia 2015.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwigulu awapa somo wafanyabiashara

01

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akifungua semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) leo jijini Dar es salaam.

Na Mwandishi wetu

Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba, amewataka wafanyabiasha nchini, kutengeneza miradi ambayo inatambulika ili iwe rahisi kukopeshwa fedha.

 Aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati wa kufungua semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo  Mashariki na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani