Phiri kurudisha heshima Simba
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.
Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.
Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Pinda awapa somo viongozi wa Mbeya kurudisha heshima ya elimu
10 years ago
TheCitizen30 Oct
Simba’s Phiri given ultimatum
10 years ago
GPLPhiri afunguka wanaoimaliza Simba
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Phiri ajivunia kiwango Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amesema kutokana na ubora wa kikosi alichonacho anauhakika kuwa kikosi hicho kitatwaa ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/2015. Kauli hiyo...
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Phiri awatoa hofu Simba
10 years ago
GPLPhiri amtuliza Tambwe Simba
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Phiri anogewa mfumo wa 3-5-2 Simba
10 years ago
Mtanzania09 Sep
Phiri ajivunia chipukizi Simba
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia Patrick Phiri, amesema anajivunia kuwa na kikosi bora na imara chenye wachezaji chipukizi ambacho kinajiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Katika msimu huu wa ligi, Simba imesajili wachezaji wengi chipukizi na kuwaondoa wakongwe baada ya timu hiyo kupata matokeo mabaya katika msimu uliopita na kumaliza ikiwa katika nafasi ya nne.
Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Goran kumrithi Phiri Simba