Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof. Maina awapa somo wabunge

WABUNGE wameshauriwa kuisoma na kuielewa Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya kabla ya kwenda katika Bunge la Katiba ili kuepuka kuchangia mambo tofauti na yaliyomo kwenye rasimu hiyo. Ushauri huo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini


 Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma,  Askofu Joseph  Mlolwa.
Alisema katika...

 

10 years ago

Habarileo

Spika awapa somo wabunge

Spika wa EALA, Daniel KidegaSPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Daniel Kidega amewataka wabunge na watunga Sheria kuwajibika, kushiriki kikamilifu katika maendeleo baada ya kuifikia ajenda ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia 2015.

 

11 years ago

Habarileo

RC awapa somo wabunge wa Dar

WABUNGE wa Mkoa wa Dar es Salaam, wametakiwa kuacha siasa chafu zinazochochea kukwamisha utekelezaji wa ‘Operesheni Safisha Jiji’ inayoendelea .

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Shein awapa somo wabunge wa Ireland

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewaelezea wabunge wa Bunge la Ireland mafanikio yaliyopatikana katika kuimarisha Serikali ya Mapinduzi Zanzibar yenye muundo wa Umoja wa Kitaifa huku viongozi hao wakiahidi nchi yao kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Baregu atoa somo kwa wabunge

RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kuwashauri wabunge kuboresha rasimu ya pili ya Katiba inayokwenda kujadiliwa hivi karibuni katika Bunge la Katiba, mjini Dodoma badala ya kuijadili kwa masilahi ya vyama vyao....

 

9 years ago

Vijimambo

Prof. Maina: Ni hasara kwa nchi.

Mwanasheria nguli nchini Profesa Chris Peter Maina, amesema kuahirishwa kwa uchaguzi huo ni hasara kubwa kwa nchi kwani fedha zilizotumika kuandaa uchaguzi huo ni za walipakodi ambao watalazimika kubeba gharama nyingine zaidi.

Alisema kilichofanywa na Zec kimeteteresha imani ya wananchi kwa tume hiyo kwani Mwenyekiti wake alipaswa kuwachukulia hatua mara moja makamishna waliokiuka sheria na kanuni siku ya kupiga kura.

“Zec ilitakiwa iwe na uwezo wa kukamata watu waliovunja sheria na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kikwete awapa somo Wamarekani


Na mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka sekta binafsi na wafanyabiashara wa Marekani kujifunza kutoka kwa wenzao wa Bara la Asia, ambao wameongeza uwekezaji barani Afrika.
Amesema hatua hiyo inatokana na kuwa wawekezaji hao wanapata taarifa sahihi na za ukweli kupitia vyombo mbalimbali.
Aidha, Rais Kikwete amesema pingamizi kubwa la kufanya biashara kati ya Marekani na Afrika sio tena Bahari ya Atlantic ama umbali, bali ni maono hasi yanayojengwa na vyombo vya habari vya Marekani kuhusu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Lyamuya awapa somo wanahabari

WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kujua maadili ya utumishi wa umma na sera za afya, ili watoe taarifa zisizo na ukinzani baina ya jamii na sekta hiyo. Wito huo ulitolewa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msechu awapa somo Wakinga

WENYEJI wa Makete mkoani Njombe wanaoishi sehemu mbalimbali nchini, wamekumbushwa wajibu waliyonao katika kuiendeleza Wilaya hiyo ili ikue kiuchumi. Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani