Prof. Maina: Ni hasara kwa nchi.
Mwanasheria nguli nchini Profesa Chris Peter Maina, amesema kuahirishwa kwa uchaguzi huo ni hasara kubwa kwa nchi kwani fedha zilizotumika kuandaa uchaguzi huo ni za walipakodi ambao watalazimika kubeba gharama nyingine zaidi.
Alisema kilichofanywa na Zec kimeteteresha imani ya wananchi kwa tume hiyo kwani Mwenyekiti wake alipaswa kuwachukulia hatua mara moja makamishna waliokiuka sheria na kanuni siku ya kupiga kura.
“Zec ilitakiwa iwe na uwezo wa kukamata watu waliovunja sheria na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Prof. Maina awapa somo wabunge
WABUNGE wameshauriwa kuisoma na kuielewa Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya kabla ya kwenda katika Bunge la Katiba ili kuepuka kuchangia mambo tofauti na yaliyomo kwenye rasimu hiyo. Ushauri huo...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Dakika 10 za Prof. Lipumba kuhusu Znz na mengine ya nchi.
December 30 2015 Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mwenyekiti mstaafu wa chama cha Wananchi C.U.F aliyasema haya hapa chini mbele ya Waandishi wa habari Dar es salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea […]
The post Dakika 10 za Prof. Lipumba kuhusu Znz na mengine ya nchi. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Dewji Blog27 Apr
Katibu wa nchi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushelisheli ateta na Prof. Anna Tibaijuka
Katibu wa Nchi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushelisheli, Barry Faure (Kulia) akitia saini kitabu cha wageni wakati alipowasili kwenye Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Prof. Anna Tibaijuka jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo.Kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania.
Katibu wa Nchi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushelisheli, Barry Faure (Kulia) akizungumza na Wazirii wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Prof. Anna Tibaijuka (Kushoto) wakati alipotembelea...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI WA MAMBO YA NJE PROF. KABUDI ATAKA NCHI ZA SADC KUIMARISHA USHIRIKIANO
Prof. Kabudi amesema hayo jijini Dar es salaam wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC kwa njia ya Video katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Ripoti: Bidhaa feki faida kwa Serikali hasara kwa wananchi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wWJjYcdJJ7k/XrzW_nOn7ZI/AAAAAAALqJ0/R_TsHfwBAycfckk63tiZarVBEqG8_O9MwCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252B%252Bkabudi.jpg)
PROF. KABUDI ATAJA SABABU ZA TANZANIA KUTOSHIRIKI MKUTANO WA NCHI NNE NA ULE ULIOTISHWA NA RAIS WA AFRIKA KUSINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wWJjYcdJJ7k/XrzW_nOn7ZI/AAAAAAALqJ0/R_TsHfwBAycfckk63tiZarVBEqG8_O9MwCLcBGAsYHQ/s400/pic%252B%252Bkabudi.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi amefafanua kwa kina sababu za Tanzania kutoshiriki kwenye mikutano ya kikanda ukiwemo mkutano wa Korido ya Kaskazini unaohusisha nchi nne pamoja na mkutano wa SACU uliotishwa na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa.
Ufafanuzi wa Profesa Kabudi ambao ameutoa leo Mei 13,2020 Bungeni Mjini Dodoma unatokana na kuwepo kwa madai ya baadhi ya watu wasioitakia mema Jumuiya Afrika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jla_S9maI84/XptHJh8J1sI/AAAAAAALnXQ/dRjggnBtwHo1-kFmTWBUOsAWZrVUv95pQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B7.18.51%2BPM.jpeg)
PROF OLE GABRIEL AIAGIZA NARCO KUHAKIKISHA NCHI INAKUA NA MIFUGO YA KUTOSHA KIPINDI HIKI CHA CORONA
Prof Ole Gabriel ameyasema hayo leo alipofanya ziara katika Wilaya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuAbqw0UtXz5jl7ci3prfI27BH*dSXf7K9X7JJ2EfTigieo3Rq9xciuzjBNHsigV0x3eSLdTRAV5z1KSMHRvkcb/aslay.jpg)
MAINA ATESWA NA PENZI LA ASLAY
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Hasara wanazopata watoto kwa kudekezwa