PROF OLE GABRIEL AIAGIZA NARCO KUHAKIKISHA NCHI INAKUA NA MIFUGO YA KUTOSHA KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jla_S9maI84/XptHJh8J1sI/AAAAAAALnXQ/dRjggnBtwHo1-kFmTWBUOsAWZrVUv95pQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B7.18.51%2BPM.jpeg)
KATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel ameitaka hifadhi ya ranchi za taifa (NARCO) kwa kushirikiana wadau wengine wa sekta ya Mifugo kuhakikisha Nchi inakuwa na Mifugo ya kutosha na yenye afya kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya bidhaa zitokanazo na mifugo wakati huu wa janga la Ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid 19) na hata mara baada ya janga hilo kuisha.
Prof Ole Gabriel ameyasema hayo leo alipofanya ziara katika Wilaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0048.jpg)
OLE MILLYA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU MAZISHI YA HESHIMA KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200522-WA0048.jpg)
******************************
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya amempongeza Rais John Magufuli kwa hatua yake ya kuruhusu maziko kufanyika kwa heshima tofauti na awali watu 10 ndiyo walikuwa wanamzika mtu...
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kutokaribiana kipindi hiki cha corona ni umbali gani?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lFuFVel58GY/XvedMevUfBI/AAAAAAALvtw/PYW7-fFv7tQw9oPkGgdNhE3TwsyY7YDPQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-27%2Bat%2B7.32.29%2BPM.jpeg)
PROF OLE GABRIEL AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUIGA MFANO WA UBORA WA MACHINJIO YA ILALA
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof Elisante Ole Gabriel amezishauri Halmashauri zote nchini ambazo zinafanya shughuli za ufugaji kuiga mfano wa Machinjio ya kisasa ya Ilala ili nao waone haja ya kuwa na machinjio ya kisasa yatakayosaidia kuboresha biashara ya machinjio na kuongeza pato la halmashauri zao.
Prof Ole Gabriel ametoa rai hiyo leo ofisini kwake jijini Dodoma alipokutana na Timu ya Wataalamu kutoka Manispaa ya Ilala waliokuja kutembelea Machinjio ya Dodoma ili...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tvt6FU3EFsM/VmGuODAQ41I/AAAAAAAIKPY/lzMgBBnDz3E/s72-c/IMG_8878.jpg)
Prof. Ole Gabriel mgeni rasmi maadhimisho ya siku ya kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-tvt6FU3EFsM/VmGuODAQ41I/AAAAAAAIKPY/lzMgBBnDz3E/s640/IMG_8878.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UrR1T5hNtIg/VmGuN2M851I/AAAAAAAIKPU/KbPNtnedthM/s640/IMG_8865.jpg)
5 years ago
CCM Blog22 May
MAPIGO 6 YA JPM KWA MABEBERU KATIKA KIPINDI HIKI CHA CORONA.
![Image may contain: 1 person, sitting](https://scontent.fdar5-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-9/98002708_103119514753779_4616803184197763072_n.jpg?_nc_cat=100&_nc_sid=ca434c&_nc_eui2=AeGQFm1U9TEk08sOVemjHMNXi2caL-vzTC-LZxov6_NMLxo263nS_opmNFcxsRyqVZpS5VcHTnbFAOc6_WS7ZHoG&_nc_ohc=UcP5Mo05-6kAX8dxKgc&_nc_ht=scontent.fdar5-1.fna&oh=06849f0844a2112d2455b56c04351aa8&oe=5EECCB69)
*PIGO LA KWANZA HILO*2:Barakoa kutoka nje zikaanza kuwa adimu na kupanda bei JPM akasema watanzania kila mtu ashone yake zikashuka bei zikauzwa hadi buku
*PIGO LA PILI HILO*3: Wakaleta Lockdown ili tujifungie tusifanye kazi watuletee misaada kwa masharti yao JPM akasema no HAPA KAZI TU wakashindwa.
*PIGO LA TATU HILO*4:Wakaleta vipimo feki ili watanzania wengi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
JAFO ATANGAZA MPANGO WA WANAFUNZI KUJISOMEA KIELEKTRONIKI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
Aidha, amewataka wanafunzi kuzingatia ratiba ya masomo inayotolewa ili wasikose vipindi vinavyorushwa kwenye redio,runinga na mitandao ya kijamii.
Jafo ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Jinsi ya kulinda afya ya akili kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200409-WA0041.jpg)
MBUNGE KINGU AUNGA MKONO AGIZO LA RAIS KUCHAPA KAZI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dua2Ma9Z88I/XpGpvU5UZHI/AAAAAAAAksE/vEKhlEI_dF8w2FldTVB_Qcx0yKDLl0TRQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E5imuJPMzd8/XpGpvZskT0I/AAAAAAAAksA/LtEAhoFGFmEPIFp_o0SJYpjT6HuLbLCoACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0044.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BK118IChCpA/XpGpwYn8h-I/AAAAAAAAksM/nXy_erFCfH0nljwwq1jRGVKeaJMvNewTQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0045.jpg)
Na Dotto Mwaibale, Singida.
MBUNGE wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ameendelea kuunga mkono agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kuwataka wananchi kote nchini kuendelea kuchapa kazi katika kipindi hiki ambacho...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya Corona: Je, kodi ya nyumba inastahili kuondoshwa katika kipindi hiki cha janga la Covid-19?