JAFO ATANGAZA MPANGO WA WANAFUNZI KUJISOMEA KIELEKTRONIKI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi) Selemani Jafo amelitaka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) na Taasisi ya Elimu Tanzania(TET), kuhakikisha utaratibu wa kufanya marejeo ya mitihani ulioanza kwa kidato cha sita uhusishe madarasa yote yanayotarajia kufanya mitihani ya Taifa.
Aidha, amewataka wanafunzi kuzingatia ratiba ya masomo inayotolewa ili wasikose vipindi vinavyorushwa kwenye redio,runinga na mitandao ya kijamii.
Jafo ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kutokaribiana kipindi hiki cha corona ni umbali gani?
5 years ago
CCM Blog22 May
MAPIGO 6 YA JPM KWA MABEBERU KATIKA KIPINDI HIKI CHA CORONA.
![Image may contain: 1 person, sitting](https://scontent.fdar5-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-9/98002708_103119514753779_4616803184197763072_n.jpg?_nc_cat=100&_nc_sid=ca434c&_nc_eui2=AeGQFm1U9TEk08sOVemjHMNXi2caL-vzTC-LZxov6_NMLxo263nS_opmNFcxsRyqVZpS5VcHTnbFAOc6_WS7ZHoG&_nc_ohc=UcP5Mo05-6kAX8dxKgc&_nc_ht=scontent.fdar5-1.fna&oh=06849f0844a2112d2455b56c04351aa8&oe=5EECCB69)
*PIGO LA KWANZA HILO*2:Barakoa kutoka nje zikaanza kuwa adimu na kupanda bei JPM akasema watanzania kila mtu ashone yake zikashuka bei zikauzwa hadi buku
*PIGO LA PILI HILO*3: Wakaleta Lockdown ili tujifungie tusifanye kazi watuletee misaada kwa masharti yao JPM akasema no HAPA KAZI TU wakashindwa.
*PIGO LA TATU HILO*4:Wakaleta vipimo feki ili watanzania wengi...
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Jinsi ya kulinda afya ya akili kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200409-WA0041.jpg)
MBUNGE KINGU AUNGA MKONO AGIZO LA RAIS KUCHAPA KAZI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dua2Ma9Z88I/XpGpvU5UZHI/AAAAAAAAksE/vEKhlEI_dF8w2FldTVB_Qcx0yKDLl0TRQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E5imuJPMzd8/XpGpvZskT0I/AAAAAAAAksA/LtEAhoFGFmEPIFp_o0SJYpjT6HuLbLCoACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0044.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BK118IChCpA/XpGpwYn8h-I/AAAAAAAAksM/nXy_erFCfH0nljwwq1jRGVKeaJMvNewTQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0045.jpg)
Na Dotto Mwaibale, Singida.
MBUNGE wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ameendelea kuunga mkono agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kuwataka wananchi kote nchini kuendelea kuchapa kazi katika kipindi hiki ambacho...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya Corona: Je, kodi ya nyumba inastahili kuondoshwa katika kipindi hiki cha janga la Covid-19?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0048.jpg)
OLE MILLYA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU MAZISHI YA HESHIMA KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200522-WA0048.jpg)
******************************
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya amempongeza Rais John Magufuli kwa hatua yake ya kuruhusu maziko kufanyika kwa heshima tofauti na awali watu 10 ndiyo walikuwa wanamzika mtu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QW9PkPNGw8s/XpV1VAnObKI/AAAAAAAA3h4/IaHY3uLAu3cSK1Z1lNCc4TYxuodINj_yQCNcBGAsYHQ/s72-c/Reshma.jpeg)
BRIGHTERMONDAY TANZANIA YAJA NA MPANGO KUSAIDIA BIASHARA KIPINDI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QW9PkPNGw8s/XpV1VAnObKI/AAAAAAAA3h4/IaHY3uLAu3cSK1Z1lNCc4TYxuodINj_yQCNcBGAsYHQ/s640/Reshma.jpeg)
Reshma Bharmal-Shariff, Ofisa Mtendaji Mkuu BrighterMonday Tanzania.
KAMPUNI ya ajira ya BrighterMonday Tanzania imezindua mpango unaoitwa 'Umoja Wakati wa Shida ' ambao utatoa nafasi kwa watu binafsi au kampuni kutangaza ajira bure katika kipindi hiki ambacho nchi inapambana na maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kupitia kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wake, Reshma Bharmal-Shariff ilieleza kuwa kampeni hiyo inalenga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jla_S9maI84/XptHJh8J1sI/AAAAAAALnXQ/dRjggnBtwHo1-kFmTWBUOsAWZrVUv95pQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B7.18.51%2BPM.jpeg)
PROF OLE GABRIEL AIAGIZA NARCO KUHAKIKISHA NCHI INAKUA NA MIFUGO YA KUTOSHA KIPINDI HIKI CHA CORONA
Prof Ole Gabriel ameyasema hayo leo alipofanya ziara katika Wilaya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-C.jpg)
SIMIYU YAZINDUA MKAKATI WA WANAFUNZI KUSOMA KIPINDI CHA LIKIZO YA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-C.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-D.jpg)