Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutokaribiana kipindi hiki cha corona ni umbali gani?

Nini kinaweza kukujulisha kwamba ulipo ni umbali wa mita 2?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MAPIGO 6 YA JPM KWA MABEBERU KATIKA KIPINDI HIKI CHA CORONA.

Image may contain: 1 person, sitting1: Walitaka kutuuzia mavazi ya madaktari na manesi kwa bei ya laki 3 kila moja JPM akasema tutashona wenyewe kwa bei ya elfu 30
*PIGO LA KWANZA HILO*2:Barakoa kutoka nje zikaanza kuwa adimu na kupanda bei JPM akasema watanzania kila mtu ashone yake zikashuka bei zikauzwa hadi buku
*PIGO LA PILI HILO*3: Wakaleta Lockdown ili tujifungie tusifanye kazi watuletee misaada kwa masharti yao JPM akasema no HAPA KAZI TU wakashindwa.
*PIGO LA TATU HILO*4:Wakaleta vipimo feki ili watanzania wengi...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO ATANGAZA MPANGO WA WANAFUNZI KUJISOMEA KIELEKTRONIKI KIPINDI HIKI CHA CORONA

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi) Selemani Jafo amelitaka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) na Taasisi ya Elimu Tanzania(TET), kuhakikisha utaratibu wa kufanya marejeo ya mitihani ulioanza kwa kidato cha sita uhusishe madarasa yote yanayotarajia kufanya mitihani ya Taifa.
Aidha, amewataka wanafunzi kuzingatia ratiba ya masomo inayotolewa ili wasikose vipindi vinavyorushwa kwenye redio,runinga na mitandao ya kijamii.
Jafo ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Namna gani unaweza kuwa umbali wa mita mbili

Watu wameshauriwa kuwa umbali wa mita mbili ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona. Lakini unawezaje kujua upo umbali wa mita mbili na mwingine?

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE KINGU AUNGA MKONO AGIZO LA RAIS KUCHAPA KAZI KIPINDI HIKI CHA CORONA


 Katibu wa Mbunge wa Singida Magharibi, Abubakari Muna (katikati), akikagua ujenzi wa nyumba ya mama na mtoto inayojengwa Kata ya Muhintiri wilayani Ikungi. Ujenzi ukiendelea. Hapa wakipeana maelekezo ya ujenzi huo.Ujenzi wa choo cha Zahanati ya Kata ya Muhintiri ukiendelea.


Na Dotto Mwaibale, Singida.
MBUNGE wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ameendelea kuunga mkono agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kuwataka wananchi kote nchini kuendelea kuchapa kazi katika kipindi hiki ambacho...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi ya kulinda afya ya akili kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona

Ushauri wa kulinda afya ya akili wakati huu wa mlipuko wa virusi corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, kodi ya nyumba inastahili kuondoshwa katika kipindi hiki cha janga la Covid-19?

Nchini Uganda, rais Yoweri Museveni amesema kuwa haikubaliki kwa wenye nyumba kuwafurusha wapangaji wao wanashindwa kulipa kodi katika kipindi hiki.

 

5 years ago

Michuzi

OLE MILLYA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU MAZISHI YA HESHIMA KIPINDI HIKI CHA CORONA


Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya akiimba wimbo wa maombolezo kwa hisia kwenye mazishi ya aliyekuwa Katibu mwenezi wa CCM Wilayani Simanjiro marehemu Sumleck Ole Sendeka aliyezikwa kijijini kwao Losokonoi Kata ya Naberera.

******************************
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya amempongeza Rais John Magufuli kwa hatua yake ya kuruhusu maziko kufanyika kwa heshima tofauti na awali watu 10 ndiyo walikuwa wanamzika mtu...

 

5 years ago

Michuzi

PROF OLE GABRIEL AIAGIZA NARCO KUHAKIKISHA NCHI INAKUA NA MIFUGO YA KUTOSHA KIPINDI HIKI CHA CORONA

KATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel ameitaka hifadhi ya ranchi za taifa (NARCO) kwa kushirikiana wadau wengine wa sekta ya Mifugo kuhakikisha Nchi inakuwa na Mifugo ya kutosha na yenye afya kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya bidhaa zitokanazo na mifugo wakati huu wa janga la Ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid 19) na hata mara baada ya janga hilo kuisha.
Prof Ole Gabriel ameyasema hayo leo alipofanya ziara katika Wilaya...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI ,SEKTA BINAFSI WATAKIWA KUKAA NA KUBUNI MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA MUHIMU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA CORONA


Na Woinde Shizza,ARUSHA

SERIKALI pamoja na sekta binafsi zimetakiwa kukaa pamoja ili kubuni mikakati ya namna ya kuendesha sekta muhimu za uchumi kama vile sekta ya utalii ,sekta ya usafirishaji ,sekta ya kilimo ,sekta ya nishati pamoja na ufugaji bila kungoja kuisha kwa janga la Corona 19.

Hayo yamebainishwa na Mtendaji mkuu wa marafiki wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Moses Adam wakati akizungumza na Michuzi Tv ambapo alisema wanatakiwa kuja na njia mbadala endelevu zitakazoendelea ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani