SERIKALI ,SEKTA BINAFSI WATAKIWA KUKAA NA KUBUNI MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA MUHIMU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9nsL2uSKVQc/XrLOlxD4oZI/AAAAAAALpTU/J1B_Or4uIH0bBIdLWg-PelRq2yBQCijwgCLcBGAsYHQ/s72-c/Serengeti.jpg)
Na Woinde Shizza,ARUSHA
SERIKALI pamoja na sekta binafsi zimetakiwa kukaa pamoja ili kubuni mikakati ya namna ya kuendesha sekta muhimu za uchumi kama vile sekta ya utalii ,sekta ya usafirishaji ,sekta ya kilimo ,sekta ya nishati pamoja na ufugaji bila kungoja kuisha kwa janga la Corona 19.
Hayo yamebainishwa na Mtendaji mkuu wa marafiki wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Moses Adam wakati akizungumza na Michuzi Tv ambapo alisema wanatakiwa kuja na njia mbadala endelevu zitakazoendelea ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Nr85iToPjE/Xuyv5d67UeI/AAAAAAALuls/wCd5IV8DjSY6B1VFHKTGao_2YiwXs4GPACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B1.39.54%2BPM.jpeg)
SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Na. WAMJW-DSM
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Sekta binafsi Tanzania inavyosaidia kupambana na homa ya kirusi cha Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza mpango kujenga hospitali ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kama homa hii ya kirusi cha corona. Hospitali hiyo inayokadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 7 za Kitanzania inatarajiwa kumalizika ndani ya miezi sita.
Mbali na hilo, ni faraja kubwa kuona nchi mbalimbali zinakuja pamoja kuhakikisha maisha...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w_fiha0Wdog/VfVGHRuodBI/AAAAAAAH4Tw/_nOcVIYFee8/s72-c/images.jpg)
WATENDAJI WA SEKTA YA AFYA WATAKIWA KUBUNI VYANZO VYA MAPATO
![](http://3.bp.blogspot.com/-w_fiha0Wdog/VfVGHRuodBI/AAAAAAAH4Tw/_nOcVIYFee8/s1600/images.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uIzOTStilZc/XqAzgmESd2I/AAAAAAALnz4/6xcVW2gwQQ0UTIRps2pRjRrOL1PHRX15ACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KUHUSU HUDUMA KWA WATEJA WA BENKI KUU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-uIzOTStilZc/XqAzgmESd2I/AAAAAAALnz4/6xcVW2gwQQ0UTIRps2pRjRrOL1PHRX15ACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Katika kuepuka msongamano, Benki Kuu...
5 years ago
CCM Blog22 May
MAPIGO 6 YA JPM KWA MABEBERU KATIKA KIPINDI HIKI CHA CORONA.
![Image may contain: 1 person, sitting](https://scontent.fdar5-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-9/98002708_103119514753779_4616803184197763072_n.jpg?_nc_cat=100&_nc_sid=ca434c&_nc_eui2=AeGQFm1U9TEk08sOVemjHMNXi2caL-vzTC-LZxov6_NMLxo263nS_opmNFcxsRyqVZpS5VcHTnbFAOc6_WS7ZHoG&_nc_ohc=UcP5Mo05-6kAX8dxKgc&_nc_ht=scontent.fdar5-1.fna&oh=06849f0844a2112d2455b56c04351aa8&oe=5EECCB69)
*PIGO LA KWANZA HILO*2:Barakoa kutoka nje zikaanza kuwa adimu na kupanda bei JPM akasema watanzania kila mtu ashone yake zikashuka bei zikauzwa hadi buku
*PIGO LA PILI HILO*3: Wakaleta Lockdown ili tujifungie tusifanye kazi watuletee misaada kwa masharti yao JPM akasema no HAPA KAZI TU wakashindwa.
*PIGO LA TATU HILO*4:Wakaleta vipimo feki ili watanzania wengi...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya Corona: Je, kodi ya nyumba inastahili kuondoshwa katika kipindi hiki cha janga la Covid-19?
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Serikali ichangie sekta binafsi
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Serikali, sekta binafsi kuinua elimu
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema itaendelea kushirikiana na watendaji na sekta binafsi katika kupatia ufumbuzi wa ukuaji wa elimu nchini ili kufikia malengo ya Matokeo Makubwa Sasa...