SIMIYU YAZINDUA MKAKATI WA WANAFUNZI KUSOMA KIPINDI CHA LIKIZO YA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-C.jpg)
Mke wa Mbunge wa Bariadi, Mhe. Andrew Chenge, Mama Christina Chenge (wa nne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mara baada ya kukabidhi msaada wa kompyuta tano na printa moja kwaShule ya sekondari Simiyu kwa niaba ya Mbunge huyo, Mei 04, 2020.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka (kushoto) akimkabidhi Afisa Elimu Halmashauri ya Mji wa Bariadi nakala ya mkakati wa maalum wa kuwawezesha wanafunzi kujisomea wakati wa likizo ya dharura ya tahadhari dhidi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
JAFO ATANGAZA MPANGO WA WANAFUNZI KUJISOMEA KIELEKTRONIKI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZErfBrCSHg/XqnUhmMjt0I/AAAAAAALols/_uCOnwSAfYYMojdmxnDbvFB8d00qhG5qwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-29%2Bat%2B10.16.23%2BPM.jpeg)
Aidha, amewataka wanafunzi kuzingatia ratiba ya masomo inayotolewa ili wasikose vipindi vinavyorushwa kwenye redio,runinga na mitandao ya kijamii.
Jafo ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-34hfN-7DMhA/XnEaAeLLl8I/AAAAAAALkLk/F0jjyumXhxwR2tJuPNSLpUUyKdLFhEL0wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-5-768x512.jpg)
SIMIYU YAFUNGA KAMBI YA KITAALUMA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-34hfN-7DMhA/XnEaAeLLl8I/AAAAAAALkLk/F0jjyumXhxwR2tJuPNSLpUUyKdLFhEL0wCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-5-768x512.jpg)
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akizungumza na wanafunzi wa Kidato cha Sita mkoani humo, kabla ya kufunga kambi ya kitaaluma kwa wanafunzi hao ambayo ilikuwa ikiendelea katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Maswa, kwa lengo la kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PICHA-2-6-1024x683.jpg)
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Virusi vya corona: Shule zinachukua tahadhari gani wakati wanafunzi wanapoanza tena masomo?
9 years ago
StarTV17 Dec
Upandishaji Nauli Kipindi Cha Sikukuu SUMATRA Mbeya yatoa tahadhari
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu nchni SUMATRA Mkoa wa Mbeya imewatahadharisha wamiliki wa vyombo vya usafiri kutokupandisha nauli katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwisho mwa mwaka.
Afisa Mfawidhi wa SUMATRA mkoani Mbeya Denis Daudi amesema mamlaka hiyo haitasita kuwachukulia hatua watoa huduma wakiwemo wamiliki, wafanyakazi na wapiga debe wa vyombo vya usafiri watakaokiuka agizo hilo.
Akizungumza na Star tv, Denis amesema yamejengeka mazoeza ya kila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
10 years ago
MichuziE FM 93.7 yazindua kipindi kipya cha Sports Headquarter
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii no katika historia...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s72-c/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
STARTIMES YAZINDUA KIPINDI CHA TELEVISHENI MASHARIKI MAX
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s640/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fu4c1VOVk9A/VeQX9biX8TI/AAAAAAAH1Ls/3VJmfUTnXPs/s640/Mash%2BPIX%2B4.jpg)
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Televisheni ya Star Times yazindua kipindi cha Mashariki Max
Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm akitoa hotuba ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa kinarushwa na Televisheni ya Star Times katika nchi za Afrika Mashariki wakati wa hafla ya uzinduzi huo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Star Times Group nchini Langtang Liao akimkaribisha Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm wakati wa hafla ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tbaJ3RbzZoE/XqiYL_gOK7I/AAAAAAAEG4Y/oyIId0s00e0GvMH59IrOvafPggC0zCftwCLcBGAsYHQ/s72-c/XS1A4831-2048x1365.jpg)
Tulonge Afya yazindua kipindi cha Uelimishaji Vijana Kwa njia ya Televisheni (Luninga)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tbaJ3RbzZoE/XqiYL_gOK7I/AAAAAAAEG4Y/oyIId0s00e0GvMH59IrOvafPggC0zCftwCLcBGAsYHQ/s640/XS1A4831-2048x1365.jpg)
· Lengo ni kusaidia vipaumbele vya kimkakati kwa vijana wa Serikali ya Tanzania
Ili kukabiliana na changamoto za COVID-19 ambazo zimeathiri shughuli mbali mbali Nchini Tanzania, Programu ya USAID Tulonge Afya imezindua kipindi maalum cha TV cha moja kwa moja (yaani live) "Washa Kideo na Sitetereki" kipindi ambacho pia kitakuwa kikirusha moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii.
Malengo ya...