Tulonge Afya yazindua kipindi cha Uelimishaji Vijana Kwa njia ya Televisheni (Luninga)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tbaJ3RbzZoE/XqiYL_gOK7I/AAAAAAAEG4Y/oyIId0s00e0GvMH59IrOvafPggC0zCftwCLcBGAsYHQ/s72-c/XS1A4831-2048x1365.jpg)
· Kiitwacho Washa Kideo na SITETEREKI, kinalenga kufikia zaidi ya vijana milioni 20 nchini
· Lengo ni kusaidia vipaumbele vya kimkakati kwa vijana wa Serikali ya Tanzania
Ili kukabiliana na changamoto za COVID-19 ambazo zimeathiri shughuli mbali mbali Nchini Tanzania, Programu ya USAID Tulonge Afya imezindua kipindi maalum cha TV cha moja kwa moja (yaani live) "Washa Kideo na Sitetereki" kipindi ambacho pia kitakuwa kikirusha moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii.
Malengo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s72-c/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
STARTIMES YAZINDUA KIPINDI CHA TELEVISHENI MASHARIKI MAX
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s640/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fu4c1VOVk9A/VeQX9biX8TI/AAAAAAAH1Ls/3VJmfUTnXPs/s640/Mash%2BPIX%2B4.jpg)
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Televisheni ya Star Times yazindua kipindi cha Mashariki Max
Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm akitoa hotuba ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa kinarushwa na Televisheni ya Star Times katika nchi za Afrika Mashariki wakati wa hafla ya uzinduzi huo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Star Times Group nchini Langtang Liao akimkaribisha Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm wakati wa hafla ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Usikose kipindi kipya cha luninga ‘Nyumbani na Diaspora’ kinachoendeshwa na Maggid Mjengwa kila Ijumaa ndani ya TBC 1
Nyumbani na Diaspora!
Ni kipindi kipya cha saa nzima chenye kuhusiana na Watanzania wa nyumbani na walio nje ya mipaka yetu.
Ni kipindi daraja kitakachowaunganisha Watanzania katika kubaini fursa mbalimbali za kuinuka kimaendeleo, kwa mtu mmoja mmoja, jumuiya na hatimaye taifa.
Ni kipindi kitakachoongozwa na mchambuzi na mmoja wa wanahabari nguli hapa nchini. Si mwingine ni Maggid Mjengwa.
Jiunge nae kufuatilia mahojiano motomoto na watu wa kada mbalimbali kwenye masuala ya kiuchumi,...
9 years ago
MichuziUtambulisho wa kipindi kipya cha Televisheni cha Kiswahili Washington DC
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha Bibi Bomba na njia panda
Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph Mapunda na Walter Bugoya.(Picha kwa hisani ya Innocent Mungy wa TCRA).
Rulling Clouds Fm Radio by moblog
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l9riotC6Lrc/XtzEYlbwr8I/AAAAAAAEHhk/GDnu4DQl5oQXIAEObWPUIMil22eRlmCCACLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
Kampeini SITETEREKI Tulonge Afya yashika kasi
SITETEREKI itasaidia kuunganisha na kuboresha shughuli za mawasiliano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzR0bjQLY6*DjEMchQuuE3HcB-BgL8*z1kyG4NCqyl8y*I2zNRHRoW55*DuYDlUCc*HzHs-wozmffdSQOYJFEBta/c1.jpg?width=650)
BBC YAZINDUA STUDIO ZAKE NCHINI, KIPINDI CHA ASUBUHI CHA AMKA NA BBC KURUKA MOJA KWA MOJA KUTOKEA DAR
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
BBC Swahili yazindua studio nchini, Kipindi cha asubuhi cha amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea Dar
Mkuu wa Habari wa BBC Idhaa ya Ulimwengu,Bi. Nikki Clarke akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha kurushia Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC jijini Dar es Salaam,katika Jengo lao lililopo Mikocheni.Kushoto ni Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Ali Saleh.(Picha zote na Othman Michuzi).
BBC Idhaa ya Ulimwengu, imezindua ofisi zake jijini Dar es Salaam. Ofisi za Dar es Salaam zina studio ambazo zinatumika kuandaa matangazo maarufu ya redio ya asubuhi, Amka na BBC, na pia...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TaugVSsGZy8/U-kvBNCI-MI/AAAAAAAF-uQ/_JagGFK6cBU/s72-c/1.jpg)
BBC yazindua studio zake nchini,kipindi cha asubuhi cha Amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaugVSsGZy8/U-kvBNCI-MI/AAAAAAAF-uQ/_JagGFK6cBU/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-87opgzZT644/U-kvG9YDzQI/AAAAAAAF-vU/HHy3_J7MZD0/s1600/2.jpg)