Televisheni ya Star Times yazindua kipindi cha Mashariki Max
Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm akitoa hotuba ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa kinarushwa na Televisheni ya Star Times katika nchi za Afrika Mashariki wakati wa hafla ya uzinduzi huo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Star Times Group nchini Langtang Liao akimkaribisha Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm wakati wa hafla ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s72-c/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
STARTIMES YAZINDUA KIPINDI CHA TELEVISHENI MASHARIKI MAX
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s640/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fu4c1VOVk9A/VeQX9biX8TI/AAAAAAAH1Ls/3VJmfUTnXPs/s640/Mash%2BPIX%2B4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tbaJ3RbzZoE/XqiYL_gOK7I/AAAAAAAEG4Y/oyIId0s00e0GvMH59IrOvafPggC0zCftwCLcBGAsYHQ/s72-c/XS1A4831-2048x1365.jpg)
Tulonge Afya yazindua kipindi cha Uelimishaji Vijana Kwa njia ya Televisheni (Luninga)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tbaJ3RbzZoE/XqiYL_gOK7I/AAAAAAAEG4Y/oyIId0s00e0GvMH59IrOvafPggC0zCftwCLcBGAsYHQ/s640/XS1A4831-2048x1365.jpg)
· Lengo ni kusaidia vipaumbele vya kimkakati kwa vijana wa Serikali ya Tanzania
Ili kukabiliana na changamoto za COVID-19 ambazo zimeathiri shughuli mbali mbali Nchini Tanzania, Programu ya USAID Tulonge Afya imezindua kipindi maalum cha TV cha moja kwa moja (yaani live) "Washa Kideo na Sitetereki" kipindi ambacho pia kitakuwa kikirusha moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii.
Malengo ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vANZh8yiCxJNA8j7FFB2HclaY2CyUveSlfxGpoZXAYBK9gzCpvWD6NAhGlL8IdSD-ossEtdeLLDHfqv8F*fpoQz/1.jpg?width=750)
STAR TIMES YAZINDUA CHANELI NNE ZA BURUDANI KWA MPIGO!
Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa chaneli mpya ambazo ni IROKO PLAY, IROKO PLUS, AMC SERIES na STARTIMES ZONE. Kushoto akifuatilia kwa makini uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam ni msanii wa Bongo Flava na balozi mpya wa kampuni hiyo, Nurdin Bilal au maarufu kama Shetta. ...akiendelea kufafanua.…
...
9 years ago
MichuziUtambulisho wa kipindi kipya cha Televisheni cha Kiswahili Washington DC
10 years ago
MichuziKIPINDI CHA MASKANI YA TIMES FM WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MSAADA KATIKA HOSPITALI YA MWANAYAMALA, DAR
10 years ago
MichuziE FM 93.7 yazindua kipindi kipya cha Sports Headquarter
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii no katika historia...
10 years ago
Michuzi18 Aug
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-C.jpg)
SIMIYU YAZINDUA MKAKATI WA WANAFUNZI KUSOMA KIPINDI CHA LIKIZO YA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-C.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-D.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzR0bjQLY6*DjEMchQuuE3HcB-BgL8*z1kyG4NCqyl8y*I2zNRHRoW55*DuYDlUCc*HzHs-wozmffdSQOYJFEBta/c1.jpg?width=650)
BBC YAZINDUA STUDIO ZAKE NCHINI, KIPINDI CHA ASUBUHI CHA AMKA NA BBC KURUKA MOJA KWA MOJA KUTOKEA DAR
Mkuu wa Habari wa BBC Idhaa ya Ulimwengu,Bi. Nikki Clarke akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha kurushia Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC jijini Dar es Salaam,katika Jengo lao lililopo Mikocheni.Kushoto ni Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Ali Saleh.
Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Ali Saleh (wa tatu kulia) akiwapatia maelekezo Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Dkt. Salim Ahmed Salim na Mwenyekiti wa CUF,Prof....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania