STARTIMES YAZINDUA KIPINDI CHA TELEVISHENI MASHARIKI MAX
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s72-c/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
Makamu Rais wa kampuni ya StarTimes, Bw. Michael Dearham (kushoto) akisalimiana na Jokate Mwegelo (kulia) atakae kuwa mtangazaji wa kipindi cha Mashariki Max kitakacho onyeshwa na StarTimes kupitia chaneli ya ST Swahili, wakati wa uzinduzi wa kipindi hicho uliofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni mtangazaji wa kipindi hicho nchini Kenya, Sarah Hassan. Picha na mpiga picha wetu.
Makamu Rais wa kampuni ya StarTimes, Bw. Michael Dearham (kushoto)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Televisheni ya Star Times yazindua kipindi cha Mashariki Max
Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm akitoa hotuba ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa kinarushwa na Televisheni ya Star Times katika nchi za Afrika Mashariki wakati wa hafla ya uzinduzi huo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Star Times Group nchini Langtang Liao akimkaribisha Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm wakati wa hafla ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tbaJ3RbzZoE/XqiYL_gOK7I/AAAAAAAEG4Y/oyIId0s00e0GvMH59IrOvafPggC0zCftwCLcBGAsYHQ/s72-c/XS1A4831-2048x1365.jpg)
Tulonge Afya yazindua kipindi cha Uelimishaji Vijana Kwa njia ya Televisheni (Luninga)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tbaJ3RbzZoE/XqiYL_gOK7I/AAAAAAAEG4Y/oyIId0s00e0GvMH59IrOvafPggC0zCftwCLcBGAsYHQ/s640/XS1A4831-2048x1365.jpg)
· Lengo ni kusaidia vipaumbele vya kimkakati kwa vijana wa Serikali ya Tanzania
Ili kukabiliana na changamoto za COVID-19 ambazo zimeathiri shughuli mbali mbali Nchini Tanzania, Programu ya USAID Tulonge Afya imezindua kipindi maalum cha TV cha moja kwa moja (yaani live) "Washa Kideo na Sitetereki" kipindi ambacho pia kitakuwa kikirusha moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii.
Malengo ya...
9 years ago
MichuziUtambulisho wa kipindi kipya cha Televisheni cha Kiswahili Washington DC
10 years ago
MichuziE FM 93.7 yazindua kipindi kipya cha Sports Headquarter
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii no katika historia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-C.jpg)
SIMIYU YAZINDUA MKAKATI WA WANAFUNZI KUSOMA KIPINDI CHA LIKIZO YA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5IyMxvwLxHY/XrGwfI3sfUI/AAAAAAALpQI/eo0KvUSp2F4JzjsLM8RFmE5Ad7hlrDKIQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-C.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-D.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FoAXj6j6m2LrvvJNug*6uh7c3WGYqFl7IHYx30lfvRRzqGn48k0eTY-dwZRQi740N8PFmGNS3mlc0Bg2qswRiTo/001.jpg?width=650)
STARTIMES YAZINDUA X MASS PROMOTION
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
BBC Swahili yazindua studio nchini, Kipindi cha asubuhi cha amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea Dar
Mkuu wa Habari wa BBC Idhaa ya Ulimwengu,Bi. Nikki Clarke akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha kurushia Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC jijini Dar es Salaam,katika Jengo lao lililopo Mikocheni.Kushoto ni Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Ali Saleh.(Picha zote na Othman Michuzi).
BBC Idhaa ya Ulimwengu, imezindua ofisi zake jijini Dar es Salaam. Ofisi za Dar es Salaam zina studio ambazo zinatumika kuandaa matangazo maarufu ya redio ya asubuhi, Amka na BBC, na pia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzR0bjQLY6*DjEMchQuuE3HcB-BgL8*z1kyG4NCqyl8y*I2zNRHRoW55*DuYDlUCc*HzHs-wozmffdSQOYJFEBta/c1.jpg?width=650)
BBC YAZINDUA STUDIO ZAKE NCHINI, KIPINDI CHA ASUBUHI CHA AMKA NA BBC KURUKA MOJA KWA MOJA KUTOKEA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TaugVSsGZy8/U-kvBNCI-MI/AAAAAAAF-uQ/_JagGFK6cBU/s72-c/1.jpg)
BBC yazindua studio zake nchini,kipindi cha asubuhi cha Amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaugVSsGZy8/U-kvBNCI-MI/AAAAAAAF-uQ/_JagGFK6cBU/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-87opgzZT644/U-kvG9YDzQI/AAAAAAAF-vU/HHy3_J7MZD0/s1600/2.jpg)