STARTIMES YAZINDUA X MASS PROMOTION
![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FoAXj6j6m2LrvvJNug*6uh7c3WGYqFl7IHYx30lfvRRzqGn48k0eTY-dwZRQi740N8PFmGNS3mlc0Bg2qswRiTo/001.jpg?width=650)
Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Star Media Tanzania ambao ni wauzaji na wasambazaji wa ving’amuzi vya StarTimes, StarTimes Tanzania, Jack Yu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni ya krisimasi na mwaka mpya ambapo wameshusha bei ya ving’amuzi vya antenna kutoka sh. 79,000/- mpaka 59,000/- na ofa ya simu ya kisasa ya bure aina ya S100 endapo mteja atalipia...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s72-c/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
STARTIMES YAZINDUA KIPINDI CHA TELEVISHENI MASHARIKI MAX
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Pr9EfgSqwc/VeQX9Ye2rBI/AAAAAAAH1Lw/MZN232UhhKU/s640/Mash%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fu4c1VOVk9A/VeQX9biX8TI/AAAAAAAH1Ls/3VJmfUTnXPs/s640/Mash%2BPIX%2B4.jpg)
10 years ago
MichuziPROIN PROMOTION YAZINDUA MPANGO WA KUUZA VILAMU ZAKE KWA NJIA YA MTANDAO
10 years ago
GPLPROIN PROMOTION YAZINDUA MPANGO WA KUUZA FILAMU ZAKE KWA NJIA YA MTANDAO
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza akizungumza jambo kwenye uzinduzi wa mpango wa kuuza filamu zake kwa njia ya mtandao. Waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Dkt Fenella Mukangara akizungumza jambo kwenye hafla fupi iliyoandaliwa na Proin Promotion kwa ajili ya kuzindua mpango wa kuuza filamu kupitia njia ya mtandao.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qk*MmDQsK7qhIKwqFuxi7yo6TLebTHicR*GXqh12UqvjzP6rc7OsLkgS0lw*uTWbEV2PXAbcxwJLEuW6vNtzxCb8D5YCMzg0/startimes1.jpg?width=650)
DROO YA KWANZA YA KUJISHINDIA PIKIPIKI NA STARTIMES
Makamu wa Rais wa StarTimes Tanzania, Zuhura Hanif (wa kwanza kulia) akifuatilia kwenye luninga droo ya bahati nasibu ya kwanza ya kujishindia pikipiki iliyochezeshwa na kampuni hiyo katika duka lao lililopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Wakifuatilia kwa makini zoezi hilo kushoto ni Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha ya Taifa, Mrisho Milao na katikati ni Msimamizi wa Mfumo wa Kompyuta wa kampuni hiyo,...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-4CKK5gtgpqw/VLfR7nivQtI/AAAAAAAAOj4/_yyxJpjXhng/s1600/3.jpg)
STARTIMES YAZINDUZI KIFURUSHI KIPYA CHA NYOTA
 Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa StarTimes Tanzania, Jacky Yu (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Baadhi ya wateja wakiangalia chaneli mbalimbali zinazorushwa na StarTimes kupitia vifurushi vyao mbalimbali.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Yyq9zrGrKEhxTi6y1erALV-OJt1zzsTbfBenjiTGztxbo5KTaujfR0NJaBC8otHy8N*yQJcYvHJF-b5hb44dfyvJpIfW3bKe/1.jpg?width=650)
STARTIMES YAMKABIDHI MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA PIKIPIKI KTK DROO YA PILI
Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi mshindi wa droo ya kwanza ya kujishindia pikipiki ya mwezi wa Aprili, Bw Kafuku Mdaki, mkazi wa Tanga, katika hafla fupi iliyofanyika katika duka la kampuni hiyo zilizopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kujiunga na bahati nasibu hiyo wateja wa StarTimes wanatakiwa kulipia kifurushi kuanzia shilingi 10,000/- na kuendelea.… ...
11 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA DUKA LA ARUSHA
Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala (kushoto) akizungumza jambo na Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Alumeru, Nyirembe Munasa wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa duka la huduma kwa wateja jijini Arusha.Katikati ni Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa airtel Tanzania, Adriana Lyamba(wa pili kushoto) na Maneja wa Kanda ya Kaskazini wa TCRA, Inginia Annette...
10 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA OFA YA LUKU
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando (katikati) akiongea na waandishi wa Habari  leo katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam wakati wa uzinduzi wa ofa kabambe itakayowazawadia wateja wa Airtel nchini kupata Unit za bure za LUKU pindi watakaponunua LUKU kupitia huduma ya Airtel Money, kushoto ni Afisa uhusiano na matukio wa Airtel na (Kulia) Steven Kimea Meneja wa Airtel Money. Meneja wa Airtel Money...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSCN9305.jpg)
UN YAZINDUA RIPOTI YA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI
Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Stella Vuzo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na uzinduzi wa ripoti ya Kupambana na dawa za kulevya ya Umoja wa Mataifa. Kulia ni mgeni rasmi Mchambuzi Mkuu wa Mifumo ya Kompyuta wa Tume ya Taifa ya kudhibiti Ukimwi (DCC), January Ntisi na kushoto ni Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama. ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania