Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARTIMES YAZINDUZI KIFURUSHI KIPYA CHA NYOTA‏

 Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa StarTimes Tanzania, Jacky Yu (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Baadhi ya wateja wakiangalia chaneli mbalimbali zinazorushwa na StarTimes kupitia vifurushi vyao mbalimbali.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

DSTV Tanzania yazindua kifurushi kipya

3

Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kulia), akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa kifurushi kipya cha  DSTV Bomba.(katikati), Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Barbara Kambogi, na kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice, Furaha Samalu.

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI ya Multichoice Tanzania  kupitia huduma ya DSTV imewataka wasanii kupeleka kazi zao ili waweze kutambulika nje na ndani ya nchi.

Kauli hiyo imetolewa  Dar es Salaam leo na Meneja Masoko...

 

10 years ago

GPL

STARTIMES YAZINDUA X MASS PROMOTION‏

Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Star Media Tanzania ambao ni wauzaji na wasambazaji wa ving’amuzi vya StarTimes, StarTimes Tanzania, Jack Yu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni ya krisimasi na mwaka mpya ambapo wameshusha bei ya ving’amuzi vya antenna kutoka sh. 79,000/- mpaka 59,000/- na ofa ya simu ya kisasa ya bure aina ya S100 endapo mteja atalipia...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA HOME WI-FI, HUDUMA YA INTERNET KUUNGANISHA FAMILIA NZIMA KWA KIFURUSHI KIMOJA TU‏

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi  huduma mpya ya HOME WI-FI itakayowawezesha wateja wake watumiaji INTANETI kufurahia kutumia kifurushi kimoja familia nzima kwa kuwaunganisha na Wi-fi watu 32 ndani ya familia na kuunganisha wanafamilia wengine wanne waliopo mahali popote nchini Tanzania  kufurahia internet ya 3.75G....

 

10 years ago

GPL

DROO YA KWANZA YA KUJISHINDIA PIKIPIKI NA STARTIMES‏

Makamu wa Rais wa StarTimes Tanzania, Zuhura Hanif (wa kwanza kulia) akifuatilia kwenye luninga droo ya bahati nasibu  ya kwanza ya kujishindia pikipiki iliyochezeshwa na kampuni hiyo katika duka lao lililopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Wakifuatilia kwa makini zoezi hilo kushoto ni Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha ya Taifa, Mrisho Milao na katikati ni Msimamizi wa Mfumo wa Kompyuta wa kampuni hiyo,...

 

9 years ago

Mtanzania

Mkwasa arudi na kifurushi cha visingizio

tanzania-2NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, amerudi na kifurushi cha visingizio, akifichua sababu zilizoiua timu hiyo na kupokea kipigo cha fedheha cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’.

Stars ilipokea kipigo hicho kwenye mchezo wa raundi ya pili ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi, kilichoifanya kutolewa kwa jumla ya mabao 9-2 kufuatia sare ya 2-2 ya mechi ya awali.

Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

TTCL YATOA MSAADA WA KOMPUTA NA KIFURUSHI CHA INTERNET YENYE KASI YA 2MBPS VYENYE JUMLA YA SHILINGI MILIONI 20.169 KWA KITUO CHA GLOBAL OUTREACH TANZANIA

Mkuu wa biashara kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Juvenal Utafu ( wa tatu kutoka kushoto) akimkabidhi moja ya komputa zilizotolewa na TTCL Bw. Nasibu Mengele aliyemwakilisha Afisa Elimu mkoa wa Iringa Bw. Eusedius Mtavangu katika halfa iliyofanyika katika kituo cha Global Outreach Tanzania mkoani Iringa. Mkuu wa biashara kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Juvenal Utafu(kushoto) akifuatilia ngonjera kutoka wanafunzi (hawapo pichani) na meneje wa TTCL mkoa wa Iringa Bw. Humprey Ngowi.

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YAZINDUA KIFURUSHI CHA “YATOSHA NYTS” BILA KIKOMO

 Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akizungumza na waandishi wahabari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya
kifurushi cha ‘Yatosha Nyts’ itakayomwezesha mteja  kupiga simu Airtel
kwenda Airtel na kutuma ujumbe mfupi (SMS) bila kikomo pamoja na
kupata kifurushi cha internet cha MB 10 kwa kiwango cha shilingi 300
tu. Kushoto ni Afisa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki. Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde (kulia) na Afisa Uhusiano naMatukio wa Airtel,...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA KIFURUSHI CHA “YATOSHA NYTS” BILA KIKOMO

Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya kifurushi cha ‘Yatosha Nyts’ itakayomwezesha mteja kupiga simu Airtel kwenda Airtel na kutuma ujumbe mfupi (SMS) bila kikomo pamoja na kupata kifurushi cha internet cha MB 10 kwa kiwango cha shilingi 300 tu. Kushoto ni Afisa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki. Afisa Uhusiano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani