Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hasara wanazopata watoto kwa kudekezwa

Ni siku nyingine wajukuu zangu yenye baraka na neema, kwasababu tumekutana tena na kujadili mambo mazuri, lengo likiwa kufahamishana na kuelekezana mambo mema.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Master J asema tuzo za kimataifa wanazopata wasanii wa Tanzania haziwanufaishi

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na jaji wa mashindano ya Bongo Star Search, Master Jay, amesema tuzo wanazoshiriki wasanii wa Tanzania nje ya nchi haziwasaidii katika kutanua wigo wa kibiashara wa msanii hao. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Master Jay alisema wasanii wa Tanzania wamekuwa wakitumia gharama kubwa kutengeneza video zenye […]

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti: Bidhaa feki faida kwa Serikali hasara kwa wananchi

Tangu kuanzishwa kwa soko huria nchini, nchi nyingi duniani zimejikuta zikigeuzwa kuwa ;dampo’ la kutupa kila aina ya bidhaa hafifu kutoka katika nchi za Asia, Ulaya na Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hasira ni hasara kwa afya yako

Je unajua kama hasira inaweza kukusababishia mshtuko wa moyo au kiharusi?

 

10 years ago

Vijimambo

Prof. Maina: Ni hasara kwa nchi.

Mwanasheria nguli nchini Profesa Chris Peter Maina, amesema kuahirishwa kwa uchaguzi huo ni hasara kubwa kwa nchi kwani fedha zilizotumika kuandaa uchaguzi huo ni za walipakodi ambao watalazimika kubeba gharama nyingine zaidi.

Alisema kilichofanywa na Zec kimeteteresha imani ya wananchi kwa tume hiyo kwani Mwenyekiti wake alipaswa kuwachukulia hatua mara moja makamishna waliokiuka sheria na kanuni siku ya kupiga kura.

“Zec ilitakiwa iwe na uwezo wa kukamata watu waliovunja sheria na...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yavunja mashirika yanayojiendesha kwa hasara

Omar Yussuf Mzee SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza rasmi kuyavunja mashirika mawili ambayo yameshindwa kujiendesha kibiashara kutokana na mabadiliko makubwa kwenye uendeshaji biashara sasa.

 

10 years ago

Mtanzania

DED kizimbani kwa kusababisha hasara ya milioni 24/-

Na Lushishi Robert, Serengeti

TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mara, imemfikisha mahakamani Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, Goody Kitambo kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuisababisha Serikali hasara ya Sh milioni 24.5.

Kitambo alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti akituhumiwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yake ikiwa ni pamoja na kukiuka sheria ya ununuzi wa umma kwa kuelekeza magari ya halmashauri ya wilaya hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Hasara za kutotunza kumbukumbu za biashara kwa wajasiriamali

Utunzaji wa kumbukumbu ni kitu muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Kumbukumbu husaidia kuonyesha dira au mwelekeo wa jambo lililofanyika au linalofanyika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola: Hasara kubwa kwa Kenya Airways

Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways linasema limepata hasara ya dola milioni 116 kutokana na mlipuko wa Ebola Afrika Magharibi

 

9 years ago

Habarileo

Tanesco yakamata 235 kwa hasara ya mil 200/

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Arusha limekamata watu 235 wanaodaiwa kuwa ni wezi waliokuwa wakihujumu baadhi ya miundombinu ya shirika hilo na kulisababishia hasara ya zaidi ya Sh milioni 200.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani