SMZ yavunja mashirika yanayojiendesha kwa hasara
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza rasmi kuyavunja mashirika mawili ambayo yameshindwa kujiendesha kibiashara kutokana na mabadiliko makubwa kwenye uendeshaji biashara sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Jun
SMZ yavunja mashirika mawili
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema rasmi kwamba itayavunja mashirika mawili ambayo yameshindwa kujiendesha kibiashara, kufuatia mabadiliko ya biashara huria kuchukua nafasi yake nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s72-c/tt.png)
KUSUDIO LA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOJIENDESHA KINYUME CHA SHERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s1600/tt.png)
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anakusudia kuyachukulia hatua Mashirika yanayoendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa mwaka 2005.
Mashirika hayo ni yale ambayo hayajawasilisha taarifa za mwaka kwa kipindi cha miaka miwili pasipo kutoa sababu za msingi, kulipa ada ya mwaka au kuendesha shughuli za NGOs bila kusajiliwa chini ya Sheria ya NGOs.Kwa taarifa hii, Mashirika husika yanatakiwa yawe yamerekebisha dosari tajwa...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Ripoti: Bidhaa feki faida kwa Serikali hasara kwa wananchi
Tangu kuanzishwa kwa soko huria nchini, nchi nyingi duniani zimejikuta zikigeuzwa kuwa ;dampo’ la kutupa kila aina ya bidhaa hafifu kutoka katika nchi za Asia, Ulaya na Marekani.
10 years ago
Habarileo07 May
Ofisi ya RC yavunja gofu kwa mil. 100/-
OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam imejikuta kwenye wakati mgumu baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kubaini kiasi cha Sh milioni 96.6 kimetumika kubomoa jengo bovu mali ya ofisi hiyo, ili kupisha ujenzi wa ofisi mpya za mkuu wa mkoa huo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-24m2mVxC7TY/VYLYZbSgWxI/AAAAAAAHhC8/_lj9n3S_Nr0/s72-c/MMGL1871.jpg)
KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, 33,780 WAMDHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-24m2mVxC7TY/VYLYZbSgWxI/AAAAAAAHhC8/_lj9n3S_Nr0/s640/MMGL1871.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ToTrfODA7c/VYLYANS7VeI/AAAAAAAHhCc/wHLVR2CaNuM/s640/MMGL1856.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHkMinI3eBE/VYLXX_1IGVI/AAAAAAAHhBg/s0EvMCpVg40/s1600/MMGL1499.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HkwNCv-6bF8/Uw9OXo9WOsI/AAAAAAAFQB4/zZE8kOCaORw/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...
11 years ago
BBCSwahili28 May
Google kuunda magari yanayojiendesha
Kampuni ya teknolojia ya Google imesema kuwa itaanza kuunda magari yanayojiendehsa yenyewe.
10 years ago
BBCSwahili15 May
Magari yanayojiendesha yahusika na ajali
Wiki hii tumegundua kwamba magari manne kati ya 48 yanayojiendesha bila dereva katika barabara za Carlifonia yamehusika katika ajali za barabarani katika kipindi cha miezi minane iliopita.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Magari yanayojiendesha sasa yaja
Magari yanayojiendesha bila ya dereva kushika usukani yataanza kusambazwa duniani kabla ya muda uliotarajiwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania