SMZ yavunja mashirika mawili
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema rasmi kwamba itayavunja mashirika mawili ambayo yameshindwa kujiendesha kibiashara, kufuatia mabadiliko ya biashara huria kuchukua nafasi yake nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jun
SMZ yavunja mashirika yanayojiendesha kwa hasara
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza rasmi kuyavunja mashirika mawili ambayo yameshindwa kujiendesha kibiashara kutokana na mabadiliko makubwa kwenye uendeshaji biashara sasa.
5 years ago
MichuziDC IKUNGI AYAPONGEZA MASHIRIKA MAWILI VITA DHIDI YA CORONA MKOANI SINGIDA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jhHRq1Zv5Oo/Vd3FLoPUkUI/AAAAAAAH0OU/Lc5wZWOU4Kc/s72-c/IMG-20150823-WA0028.jpg)
TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Yanga yavunja mwiko
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Kamati yavunja nyumba
KAMATI inayosimamia migogoro ya ardhi na viwanja katika eneo la Kange Kasera jijini Tanga imevunja nyumba mbili zilizojengwa kinyume cha utaratibu na wavamizi waliovamia bila ya kufuata utaratibu. Zoezi hilo...
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Bahrain yavunja uhusiano na Iran
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kilimanjaro yavunja rekodi ya 1995
9 years ago
Habarileo13 Sep
Simba yavunja mwiko Tanga
TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilianza vizuri kampeni zake za Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga African Sports kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Chadema ‘yavunja’ makubaliano Ukawa