Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema ‘yavunja’ makubaliano Ukawa

Chama cha Chadema kimeviasa vyama vinavyounda Ukawa kuacha malumbano kuhusu majimbo na badala yake kila kimoja kisimamishe mgombea wake kwa yale yaliyo na misuguano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TFF YAVUNJA MKATABA NA KOCHA KIM POULSEN KWA MAKUBALIANO

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote mbili.
Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa...

 

10 years ago

Habarileo

Makubaliano ya JK, Ukawa leo

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo mjini Dodoma jana. (Picha na Ikulu).MAZUNGUMZO kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa, yamefanyika vizuri katika Ikulu ndogo ya Dodoma na kufikia makubaliano katika baadhi ya maeneo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Makubaliano ya JK na ukawa ni haya hapa

john-cheyo

Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo.

.katiba ya zamani kufanyiwa marekebisho

.Ni kuruhusu tume huru na mgombea binafsi

.Ni makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasa

Na Lukwangule Blog

KATIBA inayotumika sasa ya mwaka 1977 itafanyiwa marekebisho muhimu kupisha uchaguzi mkuu ujao, na Rais ajaye ataamua hatima ya katiba mpya ya Tanzania.

Hayo yametamkwa leo na Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo akizungumza na waandishi wa habari .

Kwa matamko ya Cheyo mchakato wa kuandika katiba umesitishwa.

Cheyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Waliokiuka makubaliano ya Ukawa kuwajibishwa

Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema umoja huo utafanya tathmini ya maeneo ambayo wangeweza kushinda kwa kusimamisha mgombea mmoja kila eneo ili kuwachukulia hatua viongozi waliokiuka makubaliano hayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wasaini rasmi makubaliano

Viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana walifikia maridhiano ya kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi ya udiwani atakayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda umoja huo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAPOKEZI YA MBUNGE WA CHADEMA MBOZI MAGHARIBI MH DAVID SILINDE YAVUNJA REKODI

Mbunge wa Mbozi Magharibi Mheshimiwa David Silinde akiwahutubia wakazi wa Tunduma waliompokea.Msafara wa Magari, Bajaji na Bodaboda uliompokea Mheshimiwa David Silinde.Wakazi wa Tunduma wakimsikiliza Mheshimiwa David Silinde baada ya kupata mapokezi makubwa.

 

10 years ago

GPL

MATUKIO YA MAKUBALIANO KUSHIRIKIANA KWA UKAWA JANGWANI

Prof. Lipumba akihutubia umati uliofika Jangwani. Dk. Slaa akinyoosha mkono kuonyesha ishara ya tatu.…

 

10 years ago

GPL

MZEE CHILLO AGOMA KUZUNGUMZIA MAKUBALIANO YA UKAWA

Stori: Gabriel Ng’osha
MKONGWE katika filamu za Bongo, Ahmed Ollutu ‘Mzee Chillo’ amefunguka kuwa yeye si mwanasiasa hivyo hawezi kuzungumza chochote juu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Akijibu swali la mwandishi wetu baada ya kuulizwa anazungumziaje kitendo cha Ukawa kusaini makubaliano ya kusimamisha Mkongwe katika filamu za Bongo, Ahmed Ollutu ‘Mzee Chillo’. mgombea mmoja mmoja...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM

MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani