MZEE CHILLO AGOMA KUZUNGUMZIA MAKUBALIANO YA UKAWA
![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMOS1gcRQp3y7Ft6VKFEVQ8Ighzctu6fV2Svtkg0KvSAnt3k3RgKMy-5x8KukkJMQmSm7qn4hW3FJupOu*V6JsLS/chillo.jpg?width=650)
Stori: Gabriel Ng’osha MKONGWE katika filamu za Bongo, Ahmed Ollutu ‘Mzee Chillo’ amefunguka kuwa yeye si mwanasiasa hivyo hawezi kuzungumza chochote juu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Akijibu swali la mwandishi wetu baada ya kuulizwa anazungumziaje kitendo cha Ukawa kusaini makubaliano ya kusimamisha Mkongwe katika filamu za Bongo, Ahmed Ollutu ‘Mzee Chillo’. mgombea mmoja mmoja...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Prof. Muhongo agoma kuzungumzia urais
NA EVANS MAGEGE
SIKU chache baada ya wazee wa Wilaya ya Musoma, na jana tena baadhi ya viongozi wa mashina na matawi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jijini Dar es Salaam kumtaka aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, achukue fomu ya kuwania urais, mwanasiasa huyo amesema hataki kujisumbua kuzungumzia mambo ya urais kwa sasa.
Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu katikati ya wiki hii kuhusiana na tamko hilo, Profesa Muhongo, licha ya kukiri wazi kuwa amesikia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7btvQNVZKK669KpDlD1ihWmonF2Uy2onZdQibDOUvPvW5zLJ2EG5um-zlfJNpkz1AETWE8HYdFHjfFNvAE9-YYM/c.jpg)
MZEE CHILLO AMUONGOZA MGHANA KUMUANGUKIA MONA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DddW5EhDUj-Ymq0mau33QYDSJVuTqJHUI7veGNjAHmtluR76vat39-70zvL0yxkKw4-F1gRjXB*jXjNKnKh9OCU/Chilo.jpg)
STARA THOMAS AMKATIKIA MAUNO MZEE CHILLO
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Dk Shein agoma kukutana na Ukawa Zanzibar
10 years ago
Habarileo09 Sep
Makubaliano ya JK, Ukawa leo
MAZUNGUMZO kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa, yamefanyika vizuri katika Ikulu ndogo ya Dodoma na kufikia makubaliano katika baadhi ya maeneo.
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Chadema ‘yavunja’ makubaliano Ukawa
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Waliokiuka makubaliano ya Ukawa kuwajibishwa
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Ukawa wasaini rasmi makubaliano
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Makubaliano ya JK na ukawa ni haya hapa
Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo.
.katiba ya zamani kufanyiwa marekebisho
.Ni kuruhusu tume huru na mgombea binafsi
.Ni makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasa
Na Lukwangule Blog
KATIBA inayotumika sasa ya mwaka 1977 itafanyiwa marekebisho muhimu kupisha uchaguzi mkuu ujao, na Rais ajaye ataamua hatima ya katiba mpya ya Tanzania.
Hayo yametamkwa leo na Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo akizungumza na waandishi wa habari .
Kwa matamko ya Cheyo mchakato wa kuandika katiba umesitishwa.
Cheyo...