Makubaliano ya JK na ukawa ni haya hapa
Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo.
.katiba ya zamani kufanyiwa marekebisho
.Ni kuruhusu tume huru na mgombea binafsi
.Ni makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasa
Na Lukwangule Blog
KATIBA inayotumika sasa ya mwaka 1977 itafanyiwa marekebisho muhimu kupisha uchaguzi mkuu ujao, na Rais ajaye ataamua hatima ya katiba mpya ya Tanzania.
Hayo yametamkwa leo na Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo akizungumza na waandishi wa habari .
Kwa matamko ya Cheyo mchakato wa kuandika katiba umesitishwa.
Cheyo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Makubaliano haya yaimarishe demokrasia
10 years ago
Habarileo09 Sep
Makubaliano ya JK, Ukawa leo
MAZUNGUMZO kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa, yamefanyika vizuri katika Ikulu ndogo ya Dodoma na kufikia makubaliano katika baadhi ya maeneo.
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Chadema ‘yavunja’ makubaliano Ukawa
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Waliokiuka makubaliano ya Ukawa kuwajibishwa
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Ukawa wasaini rasmi makubaliano
10 years ago
GPLMZEE CHILLO AGOMA KUZUNGUMZIA MAKUBALIANO YA UKAWA
10 years ago
GPLMATUKIO YA MAKUBALIANO KUSHIRIKIANA KWA UKAWA JANGWANI
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM
MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...
10 years ago
VijimamboUKAWA WASAINI MAKUBALIANO MAPYA, NI KUACHIANA KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA