Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATUKIO YA MAKUBALIANO KUSHIRIKIANA KWA UKAWA JANGWANI

Prof. Lipumba akihutubia umati uliofika Jangwani. Dk. Slaa akinyoosha mkono kuonyesha ishara ya tatu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TIC NA TRA ZAINGIA MAKUBALIANO YA KUSHIRIKIANA KATIKA KUPEANA TAARIFA NA TAKWIMU

 Mkurugenzi Mtendaji Wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania ( TIC),Juliet Kairuki (kushoto) akizungumza machache katika mkutano baina ya TIC na uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ulioambatana na kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya kushirikiana katika kupeana taarifa na takwimu ambao utakuza maslahi ya kiutendaji katika taasisi hizo.Wa pili kushoto ni Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade.Mkurugenzi Mtendaji Wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania ( TIC),Juliet Kairuki...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo

IMG_0256Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.

Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.

Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.

Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...

 

9 years ago

StarTV

Ukawa leo Jangwani

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushirikiana na muungano wa vyama vingine vitatu vinavyounda umoja uliobatizwa jina la Ukawa, leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Chama hicho kimetamba kufanya ufunguzi wa kampeni wa kihistoria.

Hatua hiyo imekuja baada ya chama hicho kuruhusiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi, kutumia uwanja huo ambao awali...

 

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UKAWA JANGWANI




Ahimidiwe MUNGU aletaye Wokovu. Ashukuriwe MUNGU atupaye yele tumwombao. Atukuzwe MUNGU atazamaye kila Mnyonge na kumfariji.
Posted by UKAWA Seattle Washington STATE on Saturday, August 29, 2015

 

10 years ago

Habarileo

Makubaliano ya JK, Ukawa leo

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo mjini Dodoma jana. (Picha na Ikulu).MAZUNGUMZO kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa, yamefanyika vizuri katika Ikulu ndogo ya Dodoma na kufikia makubaliano katika baadhi ya maeneo.

 

9 years ago

TheCitizen

Relief as Ukawa gets go-ahead to use Jangwani

A potential clash between the police and opposition supporters was averted yesterday after the Ilala municipal authorities finally granted permission to Chadema to hold its presidential campaign launch meeting at Jangwani grounds.

 

9 years ago

IPPmedia

Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow


IPPmedia
Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow
IPPmedia
After the initial bar, opposition coalition Ukawa and its presidential candidate under the Chadema ticket Edward Lowassa, have the go ahead to use Jangwani grounds in Dar es Salaam to inaugurate their General Election campaigns. Speaking to press ...
Lowassa woos women voters, pledges to boost their welfareDaily News

all 2

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wakataliwa Jangwani Jumamosi

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema utatumia viwanja vya Jangwani Jumamosi, wiki hii, kuzindua kampeni za urais licha ya kupokea barua toka Manispaa ya Ilala inayoeleza kuwa siku hiyo kuna watu watatumia eneo hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Waliokiuka makubaliano ya Ukawa kuwajibishwa

Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema umoja huo utafanya tathmini ya maeneo ambayo wangeweza kushinda kwa kusimamisha mgombea mmoja kila eneo ili kuwachukulia hatua viongozi waliokiuka makubaliano hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani