MATUKIO YA MAKUBALIANO KUSHIRIKIANA KWA UKAWA JANGWANI
Prof. Lipumba akihutubia umati uliofika Jangwani. Dk. Slaa akinyoosha mkono kuonyesha ishara ya tatu.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SiTdCqoO4CQ/VMtgIEw1WyI/AAAAAAAHAWY/DVxlEPxzdyM/s72-c/DSCF2160.jpg)
TIC NA TRA ZAINGIA MAKUBALIANO YA KUSHIRIKIANA KATIKA KUPEANA TAARIFA NA TAKWIMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-SiTdCqoO4CQ/VMtgIEw1WyI/AAAAAAAHAWY/DVxlEPxzdyM/s1600/DSCF2160.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3JGdC1Qq5TQ/VMtgJbnzEiI/AAAAAAAHAWg/Bfv4nPI7eKg/s1600/DSCF2207.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.
Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.
Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.
Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...
9 years ago
StarTV29 Aug
Ukawa leo Jangwani
![Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/isaya-mngurumi_210_120.jpg)
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushirikiana na muungano wa vyama vingine vitatu vinavyounda umoja uliobatizwa jina la Ukawa, leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Chama hicho kimetamba kufanya ufunguzi wa kampeni wa kihistoria.
Hatua hiyo imekuja baada ya chama hicho kuruhusiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi, kutumia uwanja huo ambao awali...
9 years ago
Vijimambo30 Aug
MKUTANO WA UKAWA JANGWANI
Ahimidiwe MUNGU aletaye Wokovu. Ashukuriwe MUNGU atupaye yele tumwombao. Atukuzwe MUNGU atazamaye kila Mnyonge na kumfariji.
Posted by UKAWA Seattle Washington STATE on Saturday, August 29, 2015
10 years ago
Habarileo09 Sep
Makubaliano ya JK, Ukawa leo
MAZUNGUMZO kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa, yamefanyika vizuri katika Ikulu ndogo ya Dodoma na kufikia makubaliano katika baadhi ya maeneo.
9 years ago
TheCitizen28 Aug
Relief as Ukawa gets go-ahead to use Jangwani
9 years ago
IPPmedia28 Aug
Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow
IPPmedia
IPPmedia
After the initial bar, opposition coalition Ukawa and its presidential candidate under the Chadema ticket Edward Lowassa, have the go ahead to use Jangwani grounds in Dar es Salaam to inaugurate their General Election campaigns. Speaking to press ...
Lowassa woos women voters, pledges to boost their welfareDaily News
all 2
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Ukawa wakataliwa Jangwani Jumamosi
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Waliokiuka makubaliano ya Ukawa kuwajibishwa