Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIC NA TRA ZAINGIA MAKUBALIANO YA KUSHIRIKIANA KATIKA KUPEANA TAARIFA NA TAKWIMU

 Mkurugenzi Mtendaji Wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania ( TIC),Juliet Kairuki (kushoto) akizungumza machache katika mkutano baina ya TIC na uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ulioambatana na kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya kushirikiana katika kupeana taarifa na takwimu ambao utakuza maslahi ya kiutendaji katika taasisi hizo.Wa pili kushoto ni Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade.Mkurugenzi Mtendaji Wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania ( TIC),Juliet Kairuki...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA KUTILIANA SAINI YA MKATABA WA MAKUBALIANO YA MAFUNZO YA WATALAAM WA TAKWIMU NA CHUO CHA TAKWIMU CHA INDIA

Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Prof. Innocent Ngalinda akimwelezea Naibu Balozi wa India nchini Balvinder Humpal kuhusu chumba cha kompyuta kilichopo chuoni hapo wakati wa kuangalia maadalizi ya kutiliana saini ya Mkataba wa Makubaliano ya Mafunzo ya Watalaam wa Takwimu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika na Chuo cha Takwimu cha nchini India utakaosainiwa tarehe 28 Machi, 2015. Naibu Balozi wa India nchini Balvinder Humpal akiangalia vitabu mbalimbali vilivyopo...

 

9 years ago

Michuzi

NSSF, NEEC zaingia makubaliano ya ushirikiano leo Jijini Dar

MKURUGENZI wa Shirika Hifadhi ya Jamii  (NSSF), Ramadhan Dau amewataka  madereva na wamiliki wa pikipiki za Bodaboda kuwa na utamaduni wa kurudisha mikopo wanayopata kupitia Zao ili iweze kuzungushwa kwa bodaboda wengine.
Dau ametoa rai hiyo leo wakati alipokuwa akitia saini hati ya makubaliano ya ushirikiano kati NSSF na  Baraza la Taifa  la Uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC).
“Hamkufanya makosa kujiunga Saccos, kwa kuwa nina imani mtapata nafasi ya kukopeshwa na mtapata maendeleo, hivyo ni...

 

11 years ago

Michuzi

TIC YAINGIA MKATABA WA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki (wa pili kushoto) akisaini Mikataba ya Makubaliano ya Uwekezaji na Wakuu wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa,wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Everist Ndikilo (wa pili kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Mh. Yohana Balele (kushoto).Wanaoshuhudia ni Waziri wa Viwanda na Biashara,Mh. Abdallah Kigoda pamoja na Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),Mh. Aggrey Mwanri.na Kulia ni Mwenyekiti wa Kongamano la...

 

11 years ago

Michuzi

TIC YASAINI MIKATABA YA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA

 Makamu wa Rais,Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki wakati alipotembelea Banda la Kituo hicho kwenye Maonyesho ya Kongamano la Uwekezaji yaliyoanza jana kwenye hoteli ya Malaika jijini Mwanza .Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Everist Ndikilo ambaye ndie Mwenyeji wa Kongamano hilo.  Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki (katikati) akisaini Mikataba ya...

 

10 years ago

GPL

MATUKIO YA MAKUBALIANO KUSHIRIKIANA KWA UKAWA JANGWANI

Prof. Lipumba akihutubia umati uliofika Jangwani. Dk. Slaa akinyoosha mkono kuonyesha ishara ya tatu.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika yafanyika Jijini Dar, Serikali yasisitiza uwazi katika Takwimu

Takwimu - 1

Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi  chini ya kauli mbiu isemayo “Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote”.

Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam

SERIKALI kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa itaendelea kuwapatia wananchi takwimu sahihi zinazohusu sekta mbalimbali ili kuwajengea...

 

10 years ago

Vijimambo

MAADIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU.

Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam” na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi chini ya kauli mbiu isemayo “ Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote.Baadhi ya wadau mbalimbali na wataalam wa takwimu waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika wakifuatilia masuala mbalimbali leo jijini Dar es salaam.Mkurugenzi wa Shughuli za...

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU

Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam” na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi chini ya kauli mbiu isemayo “ Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote.Mkurugenzi wa Shughuli za Kitakwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bi. Aldegunda Kombo akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi hiyo kuhusu matumizi ya takwimu sahihi katika...

 

9 years ago

StarTV

Kampuni mpya zaingia kwa kishindo  katika soko la hisa

 

Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE limeeleza kushuhudia mabadiliko kiasi ya shughuli zake kwa wiki hii, wakati ambapo pia linapita kwenye hatua ya kujirekebisha baada ya kumalizika kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa baadhi ya kaunta za soko hilo kuonyesha hali ya tofauti kwenye mauzo ya hisa zake.

Baadhi ya kampuni zilizokuwa zikifanya vizuri zaidi, zimeonekana kuzidiwa kimauzo na kampuni nyingine, hususan taasisi za fedha ambazo zimeonyesha kupanda zaidi kimauzo.

Soko hilo limeshuhudia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani