NSSF, NEEC zaingia makubaliano ya ushirikiano leo Jijini Dar
MKURUGENZI wa Shirika Hifadhi ya Jamii (NSSF), Ramadhan Dau amewataka madereva na wamiliki wa pikipiki za Bodaboda kuwa na utamaduni wa kurudisha mikopo wanayopata kupitia Zao ili iweze kuzungushwa kwa bodaboda wengine.
Dau ametoa rai hiyo leo wakati alipokuwa akitia saini hati ya makubaliano ya ushirikiano kati NSSF na Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC).
“Hamkufanya makosa kujiunga Saccos, kwa kuwa nina imani mtapata nafasi ya kukopeshwa na mtapata maendeleo, hivyo ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HxPUz5neVbo/U8U0NwJVLMI/AAAAAAAF2Zs/Y-vCLK_mL48/s72-c/11.jpg)
NSSF yakutana na wachezaji wa timu ya Yanga jijini Dar leo
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF, Crescentius Magori amewaambia wachezaji hao kuwa "kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari" huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HY9aVe6jJNM/VE0Us6ZWRnI/AAAAAAAAYW4/uuQWKXVRt50/s72-c/1.jpg)
CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI NA NLD VYATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO HII LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HY9aVe6jJNM/VE0Us6ZWRnI/AAAAAAAAYW4/uuQWKXVRt50/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PIL,ALHAJ MWINYI ATEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA NSSF JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_MYStguh6B0/VImM6srLoWI/AAAAAAAG2hg/mQwF7wUGAyk/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
WAZIRI CHIKAWE, HAJI WA SMZ WAONGOZA MKUTANO WA USHIRIKIANO WA WIZARA ZAO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_MYStguh6B0/VImM6srLoWI/AAAAAAAG2hg/mQwF7wUGAyk/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYoJmZSigYg/VImM6quJgHI/AAAAAAAG2hc/x-Wb_QG97Bw/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA BARAZA LA TISA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SiTdCqoO4CQ/VMtgIEw1WyI/AAAAAAAHAWY/DVxlEPxzdyM/s72-c/DSCF2160.jpg)
TIC NA TRA ZAINGIA MAKUBALIANO YA KUSHIRIKIANA KATIKA KUPEANA TAARIFA NA TAKWIMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-SiTdCqoO4CQ/VMtgIEw1WyI/AAAAAAAHAWY/DVxlEPxzdyM/s1600/DSCF2160.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3JGdC1Qq5TQ/VMtgJbnzEiI/AAAAAAAHAWg/Bfv4nPI7eKg/s1600/DSCF2207.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
TPB, NEEC wasaini ushirikiano wa kuinua wana VICOBA kiuchumi
![](http://2.bp.blogspot.com/-FUgX48DVaFg/VaTjpYQrNUI/AAAAAAAAV-4/flsrXRGjUko/s640/nec_tpb_vicoba.jpg)
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, (NEEC), Beng’ Issa, (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Benjki ya Posta, Sabasaba Moshingi, (wa pili kulia), Rais wa VICOBA Endelevu Tanzania, Devota Likokola, (wapili kushoto), Mwanasheria wa Benki ya Posta Tanzania, Mystica Mapunda Ngongi, (wakwanza kulia), wakiwa wameshikana mikono baada ya benki hiyo kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano kati ya baraza na benki hiyo, katika kuwawezwesha wana VICOBA kiuchumi. Hafla hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EvKgKTBd7-4/U3I6ah_f5kI/AAAAAAAFhXM/xpPEMZaaBTw/s72-c/unnamed+(70).jpg)
JK afungua Mkutano mkuu wa NSSf jijini Arusha leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-EvKgKTBd7-4/U3I6ah_f5kI/AAAAAAAFhXM/xpPEMZaaBTw/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RnEuwGk8KuQ/U3I6bsMx6CI/AAAAAAAFhXU/pOZ5z2HVoLc/s1600/unnamed+(69).jpg)