Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makubaliano haya yaimarishe demokrasia

Juzi, vyama vinne vya siasa Tanzania; NLD, CUF, NCCR – Mageuzi na Chadema vilitia saini makubaliano ya ushirikiano kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa baadaye mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Makubaliano ya JK na ukawa ni haya hapa

john-cheyo

Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo.

.katiba ya zamani kufanyiwa marekebisho

.Ni kuruhusu tume huru na mgombea binafsi

.Ni makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasa

Na Lukwangule Blog

KATIBA inayotumika sasa ya mwaka 1977 itafanyiwa marekebisho muhimu kupisha uchaguzi mkuu ujao, na Rais ajaye ataamua hatima ya katiba mpya ya Tanzania.

Hayo yametamkwa leo na Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo akizungumza na waandishi wa habari .

Kwa matamko ya Cheyo mchakato wa kuandika katiba umesitishwa.

Cheyo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM na ubakaji wa demokrasia

DODODMA, uliteuliwa mwaka 1972 kuwa makao makuu ya chama na serikali enzi za chama cha ukombozi; yaani, Tanganyika Africans National Union (TANU) na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tangu hapo,...

 

11 years ago

BBCSwahili

A. Kusini:Miaka 20 ya demokrasia

Akihutubia taifa Rais Zuma alisema Afrika Kusini inaanza kupona vidonda vya historia ya ukatili na mgawanyiko na taratibu inajenga umoja wa taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC isimamie demokrasia

WAKATI leo baadhi ya Watanzania wanashiriki kupiga kura kwa ajili ya kupata madiwani katika kata 27 katika maeneo mbalimbali Tanzania Bara, ni vyema zoezi hilo likafanyika kwa ustaarabu na kuepuka...

 

5 years ago

Michuzi

Demokrasia itaendelea kuheshimiwa nchini


Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma

Serikali inaendelea na zoezi la Kidemokrasia la wananchi kuboresha taarifa za wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ambazo zitatumika kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Mdiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2020.

Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi ameongoza zoezi hilo kwa Makatibu Wakuu leo Mei 04, 2020 hapa jijini Dodoma kuhakiki na kuhuisha taarifa zao katika ikizingatiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Demokrasia changa na dhana ya kuaminiana

SIKU chache zilizopita nilisoma katika gazeti moja la Kiswahili (sio Tanzania Daima) likimnukuu Mjumbe wa Baraza Kuu la CHADEMA, Profesa Mwesiga Baregu akitaja sababu kama tatu hivi ambazo zinaonekana kuitesa...

 

9 years ago

BBCSwahili

UN: Demokrasia imo mashakani DR Congo

Ripoti ya Shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa inasema kuwa vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vinafanya matumaini kuwepo kwa demokrasia kufifia

 

9 years ago

Mwananchi

Amani, umoja na demokrasia vitawale

Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 zinaanza leo. Uchaguzi huu wa kuchagua madiwani, wabunge na rais unafanyika kwa mara ya tano tangu kuanza kwa vyama vingi mwaka 1992.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza ajivunia kuleta demokrasia

Raia wa Burundi wanapiga kura leo katika uchaguzi wa rais uliojaa utata, miezi kadhaa baada ya jaribio lililokwama la mapinduzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani