Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A. Kusini:Miaka 20 ya demokrasia

Akihutubia taifa Rais Zuma alisema Afrika Kusini inaanza kupona vidonda vya historia ya ukatili na mgawanyiko na taratibu inajenga umoja wa taifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Miaka 20 ya uhuru Afrika Kusini

Utawala wa wa ubaguzi wa rangi uliwafanya watu wengi weusi kuwa maskini, ikilinganishwa na wenzao weupe. Sasa maisha yamebadilika kwa raia wengi weusi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yaadhimisha miaka 3

Maelfu ya wananchi nchini Sudan Kusini wamejitokeza kushuhudia gwaride la kijeshi katika sherehe za kuadhimisha miaka mitatu tangu kujipatia uhuru.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini huru yatimiza miaka 20

Sherehe zafanywa kote Afrika Kusini kuadhimisha miaka 20 tangu kumalizika utawala wa ubaguzi wa rangi

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini

Mahakama nchini Afrika Kusini imedumisha hukumu aliyopewa mfalme wa kabila la Thembu, ikisema lazima atumikie kifungo cha miaka 12.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mafuriko makubwa zaidi katika miaka 50 Marekani Kusini

Hali mbaya ya hewa imeathiri eneo kubwa la Marekani kusini katika msimu huu wa Krismasi, na kusababisha vifo vya watu 26 na kuhamishwa kwa watu 150,000

 

11 years ago

Tanzania Daima

MARK MUGA: Msanii aliyeishi Afrika Kusini miaka 15 bila mafanikio

WIMBO ulioimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, unaojulikana kwa jina la ‘Mark Muga’ ni maisha ya kweli ya mhusika aliyeimbwa. Hata hivyo Mark Muga mwenyewe...

 

10 years ago

GPL

NGASSA ASAINI MIAKA MINNE NA KLABU YA FREE STATE STARS YA AFRIKA KUSINI

Mrisho Ngassa akikabidhiwa jezi na Kocha wa Free State Stars, Kinnah Phiri leo, makao makuu ya klabu hiyo, Mtaa wa 22B President Boshoff mjini Bathlehem baada ya kusaini Mkataba wa miaka minne kuichezea timu hiyo. Na Mahmoud Zubeiry, BETHELEHEM KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesaini Mkataba wa miaka minne kujiunga na klabu ya Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini leo.
Ngassa, mume...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wahitimu wa CBE nyanda za juu kusini waadhimisha miaka 50 ya chuo hicho jijini Mbeya

19

Mkuu wa Mkoa Mstaafu wa Mbeya Mh. Johm Mwakangale ambaye ndiye Mgeni Rasmi katika Mkutano wa wahitimu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)  wanaoishi nyanda za Juu kusini waliowahi kusoma katika chuo hicho kuanzia mwaka 1965-2014 na yeye akiwa ni mmoja wa wanafunzi ambaye alisoma katika chuo hicho mwaka 1967 na ambaye pia alikuwa ni Mkufunzi katika chuo hiki na Mlezi wa Umoja wa wana CBE waishio nyanda za juu kusini akitoa hotuba yake ambapo, alikishukuru chuo cha CBE kwa kufanya mkutano huu...

 

9 years ago

Bongo5

DJ mdogo zaidi wa Afrika Kusini mwenye miaka 3 ashinda shindano la SA’s Got Talent 2015 (video)

dj Arch

DJ Arch Jnr ndiye DJ mdogo zaidi wa Afrika Kusini aliyeibuka mshindi wa shindano la South Africa’s Got Talent 2015 na kuondoka na zawadi kubwa ya R500,000 (shilingi milioni 74) baada ya kuwashinda washiriki wengine sita katika fainali iliyofanyika Jumapili ya Nov.8 jijini Johannesburg.

dj Arch

Oratilwe Hlongwane a.k.a DJ Arch Jnr mwenye umri wa miaka 3 ndiye mshindi wa kwanza mwenye umri mdogo katika historia ya mashindano hayo.

We have a winner! Congratulations DJ Arch Jnr....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani