Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Demokrasia changa na dhana ya kuaminiana

SIKU chache zilizopita nilisoma katika gazeti moja la Kiswahili (sio Tanzania Daima) likimnukuu Mjumbe wa Baraza Kuu la CHADEMA, Profesa Mwesiga Baregu akitaja sababu kama tatu hivi ambazo zinaonekana kuitesa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Eneo changamani changa la macho?

Mwezi Julai mwaka jana, Serikali ya China iliikabidhi rasmi Serikali ya Tanzania Uwanja wa Taifa uliopo Dar es Salaam, ambao umejengwa kwa ubia kati ya Serikali hizo mbili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Damu changa zinahitajika netiboli

NI Jumatatu nyingine tena tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga. Kama kawaida, lengo letu likiwa ni lilelile, kupeana changamoto za kispoti ili kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii....

 

10 years ago

Mwananchi

CUF: Ahadi ya JK ‘changa la macho’

Chama cha Wananchi (CUF) kimekosoa ahadi ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kuanza kutoa elimu bure nchi nzima kuwa ni propaganda za kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahitaji ya msingi ya biashara changa

Biashara inayoanza (biashara changa) ni tofauti kabisa na ile inayokua au iliyokua.Mahitaji ya msingi ya biashara hizi katika mchakato wa hatua za maendeleo yake, ndivyo vitu muhimu vinavyotofautisha biashara moja iliyo katika hatua ya mwanzo dhidi ya ile iliyo katika hatua ya pili au ya tatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nchi changa zapata makadinali kadha

Papa Francis ageuza dira kuelekea ambako Kanisa Katoliki lina nguvu

 

10 years ago

Mwananchi

‘Changa la macho’ hadi kwa wachezaji!

Nakumbukuka sehemu ya hotuba moja ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alisema kuna zuzu kauziwa almasi feki halafu anaondoka, alikuwa na almasi akadanganywa akaambiwa, almasi siyo hii, almasi ni hii. Kumbe ni chupa.

 

11 years ago

GPL

Marehemu Changa aliokotwa na muuza makopo

Mchezaji wa zamani wa Yanga, JKT Ruvu na Moro United ambako alikuwa akiichezea hivi sasa Omary Changa amefariki dunia. (Picha: Omary Changa ni wa tatu kutoka kushoto waliosimama, hapa akiwa anaichezea JKT Ruvu) Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
MAREHEMU Omari Changa aliyefariki dunia Jumapili iliyopita ambapo gazeti hili lilikuwa la kwanza kuripoti, imeelezwa kuwa mwili wake uligundulika tangu asubuhi ya siku… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio

Na Mohammed Mdose

SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema kikosi chake kitatumia mfumo mpya ambao haijawahi kuutumia ili kuwazuga wapinzani.

Kerr raia wa Uingereza aliliambia Championi Jumamosi kuwa, ni lazima abadili mfumo kwani anakutana na Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amewahi kuifundisha Simba.

“Tunacheza na kocha anayeifahamu Simba vizuri, sasa ni lazima nibadili mfumo na nitatumia mpya kabisa ambao hatujawahi...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA, NDIMU CHANGA HAINA MAJI!

Mambo vipi wanangu wenyewe? Mzuksi? Kitaa hiyo kwa ndichi hapo kati inakuwa nini? Kipande hii haiwi kitu aisee. Hapa vumbi tu kama vipi welikamu kwa jamvini rede kukisanua. Kwani kuna tatizo? Hakuna tatizo! Huku na huku kaka mkubwa nipo kitaa nimechili na wana. Si unanyaka zile za kula tu wepesi na makiksi wa kitaa? Wapo njema hatare, unaweza ukaua dheni ikawa soo kwa kitaa. Hapo ndo stori moo inahapeni. Kenny ni kaka la kaka la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani