Nchi changa zapata makadinali kadha
Papa Francis ageuza dira kuelekea ambako Kanisa Katoliki lina nguvu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Mar
Malaysia yaomba data kutoka nchi kadha
Malaysia yaomba data zaidi ya radar na satalaiti ili kugundua ndege iliyopotea iko wapi huku nyumba za marubani zapekuliwa
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3FznjP7MMSc/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aBxuyTutHqc/U3NQFhnFIdI/AAAAAAAFhiE/-5ICh4ENKxc/s72-c/unnamed+(22).jpg)
KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA LAFUNGULIWA, MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aBxuyTutHqc/U3NQFhnFIdI/AAAAAAAFhiE/-5ICh4ENKxc/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1TDmwrBqP4Y/U3NQGXcNK9I/AAAAAAAFhiI/oCQXDjKkrck/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xIzjYnfUA08/U3NQGZl80OI/AAAAAAAFhiM/l-0uUoyQ1BY/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
Michuzi12 May
KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA KUANZIA TAREHE 14 MPAKA 16 MEI, 2014-MWANZA.
Mkutano Mkuu wa 9 Ngazi ya Mawaziri katika Shirika la Biashara la Dunia “World Trade Organization (WTO)” uliofanyika kutoka tarehe 3 hadi 6 Desemba, 2013 katika mji wa Bali, Indonesia uliazimia kuboresha taratibu za kiforodha ili zifanyike kwa haraka na ufanisi mkubwa kuliko ilivyo ilivyo sasa kupitia ushirikiano kati ya mamlaka za forodha za nchi wanachama.
Makubaliano hayo pia yamechukua mahitaji ya Nchi zinazoendelea na zile zilizo changa kama vile Tanzania kwa kubeba misimamo ya msaada...
11 years ago
Habarileo17 Jan
Papa atimua Makadinali
MAKADINALI wote isipokuwa mmoja waliokuwa wakisimamia benki ya Vatican wamefutwa kazi na Papa Francis. Waliokumbwa na ‘fagio hilo la chuma’ ni makadinali wanne ambao ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Kadinali Tarcisio Bertone SDB, Kadinali Odilo Scherer kutoka Brazil, Telesphore Toppo kutoka India na Domenico Calcagno kutoka Vatican.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgZmPQap3kQPr0*UmihKINLYjNjRlLjIV49NTyK-QS*GSJuCjG*m*E4u0YZEfhKKwWHNdyhyXy-3LMuHc8tSAJlR/Pope.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS ATEUA MAKADINALI 19 VATICAN
Makadinali wapya 19 wameteuliwa na Papa Francis leo kwenye sherehe iliyofanyika Vatican ikihudhuriwa na Papa mstaafu Benedict XVI. Uteuzi huo ni wa kwanza kwa Papa Francis tangu achukue nafasi ya kuliongoza Kanisa Katoliki. Ameteua makadinali hao kutoka nchi 12 zikiwemo Ivory Coast, Haiti na Burkina Faso.
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Papa Francis awateua makadinali 20 wapya
Papa Francis amewachagua makadinali 20 wapya wakiwemo kutoka mataifa ya Tonga,Ethiopia na Myanmar.
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Majaji kadha wa Misri wastaafishwa
Ripoti zasema mahakimu kadha wa MIsri walazimishwa kustaafu kwa kuunga mkono Muslim Brotherhood
11 years ago
BBCSwahili02 Feb
Maandamano yajeruhi kadha Mombasa
Maandamano yamefanywa mjini Mombasa, Kenya, na watu kadha wajeruhiwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania