Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nchi changa zapata makadinali kadha

Papa Francis ageuza dira kuelekea ambako Kanisa Katoliki lina nguvu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia yaomba data kutoka nchi kadha

Malaysia yaomba data zaidi ya radar na satalaiti ili kugundua ndege iliyopotea iko wapi huku nyumba za marubani zapekuliwa

 

11 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA LAFUNGULIWA, MWANZA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo, kwa niaba yaya Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Abdallah Kigoda, akifungua Kongamano la uwezeshaji biashara baada ya mkutano mkuu wa Bali kwa nchi changa linalofanyika Mkoani Mwanza, Mei 16 hadi 16, 2014. Meza kuu katika Kongamano hilo. Viongozi Wakuu katika Kongamano hilo, Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mtangamano wa Biashara Bw Lucas Saronga, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo, Profesa Francis...

 

11 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA KUANZIA TAREHE 14 MPAKA 16 MEI, 2014-MWANZA.

Mkutano Mkuu wa 9 Ngazi ya Mawaziri katika Shirika la Biashara la Dunia “World Trade Organization (WTO)” uliofanyika kutoka tarehe 3 hadi 6 Desemba, 2013 katika mji wa Bali, Indonesia uliazimia kuboresha taratibu za kiforodha ili zifanyike kwa haraka na ufanisi mkubwa kuliko ilivyo ilivyo sasa kupitia ushirikiano kati ya mamlaka za forodha za nchi wanachama.

Makubaliano hayo pia yamechukua mahitaji ya Nchi zinazoendelea na zile zilizo changa kama vile Tanzania kwa kubeba misimamo ya msaada...

 

11 years ago

Habarileo

Papa atimua Makadinali

MAKADINALI wote isipokuwa mmoja waliokuwa wakisimamia benki ya Vatican wamefutwa kazi na Papa Francis. Waliokumbwa na ‘fagio hilo la chuma’ ni makadinali wanne ambao ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Kadinali Tarcisio Bertone SDB, Kadinali Odilo Scherer kutoka Brazil, Telesphore Toppo kutoka India na Domenico Calcagno kutoka Vatican.

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS ATEUA MAKADINALI 19 VATICAN

Makadinali wapya 19 wameteuliwa na Papa Francis leo kwenye sherehe iliyofanyika Vatican ikihudhuriwa na Papa mstaafu Benedict XVI. Uteuzi huo ni wa kwanza kwa Papa Francis tangu achukue nafasi ya kuliongoza Kanisa Katoliki. Ameteua makadinali hao kutoka nchi 12 zikiwemo Ivory Coast, Haiti na Burkina Faso.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis awateua makadinali 20 wapya

Papa Francis amewachagua makadinali 20 wapya wakiwemo kutoka mataifa ya Tonga,Ethiopia na Myanmar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majaji kadha wa Misri wastaafishwa

Ripoti zasema mahakimu kadha wa MIsri walazimishwa kustaafu kwa kuunga mkono Muslim Brotherhood

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yajeruhi kadha Mombasa

Maandamano yamefanywa mjini Mombasa, Kenya, na watu kadha wajeruhiwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani