KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA KUANZIA TAREHE 14 MPAKA 16 MEI, 2014-MWANZA.
Mkutano Mkuu wa 9 Ngazi ya Mawaziri katika Shirika la Biashara la Dunia “World Trade Organization (WTO)” uliofanyika kutoka tarehe 3 hadi 6 Desemba, 2013 katika mji wa Bali, Indonesia uliazimia kuboresha taratibu za kiforodha ili zifanyike kwa haraka na ufanisi mkubwa kuliko ilivyo ilivyo sasa kupitia ushirikiano kati ya mamlaka za forodha za nchi wanachama.
Makubaliano hayo pia yamechukua mahitaji ya Nchi zinazoendelea na zile zilizo changa kama vile Tanzania kwa kubeba misimamo ya msaada...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aBxuyTutHqc/U3NQFhnFIdI/AAAAAAAFhiE/-5ICh4ENKxc/s72-c/unnamed+(22).jpg)
KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA LAFUNGULIWA, MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aBxuyTutHqc/U3NQFhnFIdI/AAAAAAAFhiE/-5ICh4ENKxc/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1TDmwrBqP4Y/U3NQGXcNK9I/AAAAAAAFhiI/oCQXDjKkrck/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xIzjYnfUA08/U3NQGZl80OI/AAAAAAAFhiM/l-0uUoyQ1BY/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
Michuzi25 Apr
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Makamu wa Rais aiwakilisha Tanzania katika kongamano la pili la kimataifa la biashara kwa nchi za Afrika Jijini Dubai
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika majadiliano kuhusu utengamano wa Afrika na Fursa za biashara na Uwekezaji Katibu na Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Richard Sezibera, wakati wakihojiwa na Mwandishi wa habari wa Kimataifa na Mkurugenzi wa Kampuni ya ‘Eddo Media’, Mark Eddo (kushoto). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Oktoba Mosi, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA LA KIMATAIFA KWA NCHI ZA AFRIKA JIJINI DUBAI, FARME ZA KIARABU
![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-INlvWxbsZHo/VC5tHVuGDTI/AAAAAAADG54/4WKYfNw25FU/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Makamu wa rais Dkt. Bilal ahudhuria kongamano la biashara la kimataifa kwa nchi za Afrika jijini Dubai, falme za kiarabu
Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika, Bw. Aliko Dangote katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. (Picha na OMR).
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YH3LZprTHIA/U7ew3EQyI5I/AAAAAAAFvIg/eKqfScTVmRk/s72-c/unnamed+(66).jpg)
TANZANIA YASHIRIKI VYEMA KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA NA VIWANDA NDOLA ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 JULY HADI 8 JULY 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-YH3LZprTHIA/U7ew3EQyI5I/AAAAAAAFvIg/eKqfScTVmRk/s1600/unnamed+(66).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cVunDSidYC4/U7exKs4qEPI/AAAAAAAFvIo/G6DNpst5StA/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8om2WImj8T0/U7exK9ehGBI/AAAAAAAFvIs/ByMkZPUxBQI/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y5Fem8YuAfw/U7exMaOIXdI/AAAAAAAFvI8/f0AcYAU7ims/s1600/unnamed+(67).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DEmABh4KTCA/U7exLg0pLnI/AAAAAAAFvIw/_WeSTF8CCao/s1600/unnamed+(65).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Po8S4dQcSBs/VZqQUpEqr3I/AAAAAAAHnUQ/NaMufzfps3k/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
TANZANIA KUWA NCHI YA HESHIMA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA BIASHARA KATI YA AFRIKA NA UBELGIJI APRILI 2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-Po8S4dQcSBs/VZqQUpEqr3I/AAAAAAAHnUQ/NaMufzfps3k/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi08 May
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s72-c/images.jpg)
MDAHALO WA KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UTAKAOFANYIKA KWENYE HOTELI YA BLUE PEARL, UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM JUMAPILI TAREHE 2 NOVEMBA 2014 KUANZIA SAA 9.00 MCHANA MPAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s1600/images.jpg)
Lengo ni kutoa fursa kwa washiriki wa mdahalo na wananchi kwa ujumla kujielimisha kuhusu...