TANZANIA YASHIRIKI VYEMA KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA NA VIWANDA NDOLA ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 JULY HADI 8 JULY 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-YH3LZprTHIA/U7ew3EQyI5I/AAAAAAAFvIg/eKqfScTVmRk/s72-c/unnamed+(66).jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mh. Grace Mujuma akipatiwa maelezo na mmoja wa wafanyabiashara wajasiliamali kutoka nchini Tanzania ambao wanashiriki kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara na Viwanda yanayofanyika Mjini Ndola,Zambia.
Sehemu ya wafanyabiashara wajasiliamali kutoka nchini Tanzania wakionyesha bidhaa zao kwenye Maonyesho hayo ya Kimataifa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uVfDv3BETFs/VaAzL8UOuLI/AAAAAAAHokU/X8aTY6-_0xE/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
KINAMAMA WAJASIRIAMALI WATIA FORA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA NDOLA, ZAMBIA
Tarehe 1 hadi 7 Julai 2015 kulikuwako maonyesho ya kibiashara yaliyofanyika mji wa Ndola. Kama ilivyo ada kwa Watanzania, walishiriki maonesho hayo na kutia fora kwa bidhaa zao mbalimbali. Kikundi cha Wajasiriamali kinachojulikana HOT kutoka Dar es Salaam kilishiriki kama kinvyoonekana kwenye picha mbali mbali wakiwa wamepiga picha na Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma. Balozi alikwenda Ndola kuwaunga mkono.
Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma...
![](http://4.bp.blogspot.com/-uVfDv3BETFs/VaAzL8UOuLI/AAAAAAAHokU/X8aTY6-_0xE/s1600/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboMAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA NDOLA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAHAKAMA YA TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA’ 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cwYe_A5VCIM/U_2UeA_E5JI/AAAAAAAGCmY/geYd641wFNE/s72-c/IMG-20140827-WA0001.jpg)
Rais Armando Guebuze Wa Msumbiji afungua Maonyesho Biashara ya Kimataifa Mjinj Maputo,Tanzania yashiriki vyema
![](http://4.bp.blogspot.com/-cwYe_A5VCIM/U_2UeA_E5JI/AAAAAAAGCmY/geYd641wFNE/s1600/IMG-20140827-WA0001.jpg)
11 years ago
MichuziNSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA-TANGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H-JWJo3hoXc/VZuQKy4f_6I/AAAAAAAHneU/-ydINMsdgbw/s72-c/aa1.jpg)
AICC YASHIRIKI MAONESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM (SABASABA)
Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kimeshiriki maonesho ya 39 ya kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kuelezea umma juu ya shughuli zake mbalimbali ikiwemo masuala ya uendeshaji wa mikutano. AICC ilielezea pia uwepo wa kituo chake cha Mikutano kwa Mkoa wa Dar es Salaam kijulikanacho kama Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC) chenye kumbi zenye uwezo wa kuhudumia wageni 10-1000. Mbali na masuala ya mikutano AICC pia iliweza kuwaelezea wadau...
11 years ago
MichuziWIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA MKOANI LINDI
Naibu Katibu mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Maria Bilia akipiga picha ya pamojanaViongozi mbalimbali waserikali katika maonyesho ya Nanenane 2014, Lindi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rXSPw7VDn7A/Xtuapv50F2I/AAAAAAAC67k/rv20mF8QmMsymWhtblsxhTWWOtqvr_BbACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA KUANZA TAREHE 1-13 JULAI, 2020, UWANJA WA MWALIMU. J.K. NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-rXSPw7VDn7A/Xtuapv50F2I/AAAAAAAC67k/rv20mF8QmMsymWhtblsxhTWWOtqvr_BbACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) inapenda kuwataarifu Taasisi za Umma, Sekta Binafsi, Jumuiya za Wafanyabiashara na Wananchi wote kwa ujumla kuwa inaendelea na maandalizi ya Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam yanayotarajiwa kuanza tarehe 1 hadi 13 Julai, 2020 katika Uwanja wa Maonesho wa Mwl. J. K. Nyerere, Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam.
Lengo la Maonesho haya ni kutoa fursa ya kutafuta masoko ya...
11 years ago
Michuzi10 Jul
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania