MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA NDOLA
Tarehe 1 hadi 7 Julai 2015 kulikuwako maonyesho ya kibiashara yaliyofanyika mji wa Ndola. Kama ilivyo ada kwa Watanzania, walishiriki maonesho hayo. Kikundi cha Wajasiriamali kinachojulikana HOT kutoka Dar es Salaam kilishiriki kama kinvyoonekana kwenye picha mbali mbali wakiwa wamepiga picha na Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma. Balozi alikwenda Ndola kuwaunga mkono.
Tarehe 1 hadi 7 Julai 2015 kulikuwako maonyesho ya kibiashara yaliyofanyika mji wa Ndola. Kama ilivyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uVfDv3BETFs/VaAzL8UOuLI/AAAAAAAHokU/X8aTY6-_0xE/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
KINAMAMA WAJASIRIAMALI WATIA FORA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA NDOLA, ZAMBIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-uVfDv3BETFs/VaAzL8UOuLI/AAAAAAAHokU/X8aTY6-_0xE/s1600/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YH3LZprTHIA/U7ew3EQyI5I/AAAAAAAFvIg/eKqfScTVmRk/s72-c/unnamed+(66).jpg)
TANZANIA YASHIRIKI VYEMA KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA NA VIWANDA NDOLA ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 JULY HADI 8 JULY 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-YH3LZprTHIA/U7ew3EQyI5I/AAAAAAAFvIg/eKqfScTVmRk/s1600/unnamed+(66).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cVunDSidYC4/U7exKs4qEPI/AAAAAAAFvIo/G6DNpst5StA/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8om2WImj8T0/U7exK9ehGBI/AAAAAAAFvIs/ByMkZPUxBQI/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y5Fem8YuAfw/U7exMaOIXdI/AAAAAAAFvI8/f0AcYAU7ims/s1600/unnamed+(67).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DEmABh4KTCA/U7exLg0pLnI/AAAAAAAFvIw/_WeSTF8CCao/s1600/unnamed+(65).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DocMlwLY0Sk/Xt35G728GEI/AAAAAAALtAg/n49-yg2NHhQhmYkBD99phhVM7ylCSl1TwCLcBGAsYHQ/s72-c/Saba_Crowd1.jpg)
MAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM (44th DITF) KUANZA JULAI 1 – 13, 2020 KATIKA UWANJA WA MAONESHO WA MWL. J.K. NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-DocMlwLY0Sk/Xt35G728GEI/AAAAAAALtAg/n49-yg2NHhQhmYkBD99phhVM7ylCSl1TwCLcBGAsYHQ/s640/Saba_Crowd1.jpg)
Lengo la Maonesho haya ni kutoa fursa ya kutafuta masoko ya...
11 years ago
MichuziNSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA-TANGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nN61TXATLVw/VZ0WJVSCSFI/AAAAAAAHnxQ/Ui4MhmB-sKE/s72-c/IMG_20150707_125754.jpg)
BANDA LA TAWLA KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nN61TXATLVw/VZ0WJVSCSFI/AAAAAAAHnxQ/Ui4MhmB-sKE/s640/IMG_20150707_125754.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXBsDagkGZ4/VZ0WJFa6AzI/AAAAAAAHnxU/Q4CJzc21eJQ/s640/IMG_20150707_125832.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ShLKUsF6M5U/VZ0WKNRWfCI/AAAAAAAHnxg/ltEyQKf-cPM/s640/IMG_20150707_131321.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v8-oGbvPMUY/VZ0WOU_KfRI/AAAAAAAHnxw/wpznu8aRgI0/s640/IMG_20150707_134206%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Banda la TAWLA lang’ara maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba
Baadhi ya watu waliohudhuria kwenye banda la chama cha wanasheria wanawake (TAWLA) kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba.
Mkurugenzi wa Programu wa TAWLA, Naseku Kisambu akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria banda lao kwenye maonesho ya sabasaba jinsi gani Tawla inavyosaidia kisheria.
Afisa habari wa TAWLA Goodness Mrema akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria bandani kwao.
Mkurugenzi mtendaji wa TAWLA, Tike Mwambipile akihojiwa na mwandishi wa TBC kwenye maonesho ya kimataifa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H-JWJo3hoXc/VZuQKy4f_6I/AAAAAAAHneU/-ydINMsdgbw/s72-c/aa1.jpg)
AICC YASHIRIKI MAONESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM (SABASABA)
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
Rais Kikwete atembelea banda la TTCL maonesho ya kimataifa ya biashara
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye banda la TTCL kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba alipotembelea tena jana Julai 6, 2014 baada ya ziara yake ya juzi kutokamilika kutokana na muda.
Baadhi ya wafanyakazi na viongozi wakipiga picha ya pamoja na Rais Jakaya Kikwete nje ya Banda la TTCL kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba jana Juai 6, 2014.
Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo juu ya utendaji kazi wa shughuli za mkongo wa taifa wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tEJoC3S2nPw/U7J-D5-n5SI/AAAAAAABBgA/oanR2ayhuSQ/s72-c/1.jpg)
NSSF YANG’ARA KATIKA MAONESHO YA 38 YA KIMATAIFA YA BIASHARA ‘SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tEJoC3S2nPw/U7J-D5-n5SI/AAAAAAABBgA/oanR2ayhuSQ/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DO4OSSt4y7o/U7J-GZCVUbI/AAAAAAABBgo/Ylq5s7sJo20/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqnIO6flexk/U7J-Gjl5SyI/AAAAAAABBgs/3abbaRnW458/s1600/3.jpg)