Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAPA FRANCIS ATEUA MAKADINALI 19 VATICAN

Makadinali wapya 19 wameteuliwa na Papa Francis leo kwenye sherehe iliyofanyika Vatican ikihudhuriwa na Papa mstaafu Benedict XVI. Uteuzi huo ni wa kwanza kwa Papa Francis tangu achukue nafasi ya kuliongoza Kanisa Katoliki. Ameteua makadinali hao kutoka nchi 12 zikiwemo Ivory Coast, Haiti na Burkina Faso.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis awateua makadinali 20 wapya

Papa Francis amewachagua makadinali 20 wapya wakiwemo kutoka mataifa ya Tonga,Ethiopia na Myanmar.

 

11 years ago

Habarileo

Papa atimua Makadinali

MAKADINALI wote isipokuwa mmoja waliokuwa wakisimamia benki ya Vatican wamefutwa kazi na Papa Francis. Waliokumbwa na ‘fagio hilo la chuma’ ni makadinali wanne ambao ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Kadinali Tarcisio Bertone SDB, Kadinali Odilo Scherer kutoka Brazil, Telesphore Toppo kutoka India na Domenico Calcagno kutoka Vatican.

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa kukutana na walio nyanyaswa Vatican

Papa atakutana faraghani kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe, na kundi la waathiriwa walionyanyaswa kimapenzi na mapadri

 

10 years ago

Vijimambo

POPE FRANCIS AONGOZA MISA YA MKESHA WA KRISMASI VATICAN CITY

Pope Francis uncovers a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'
Pope Francis akiifunua sanamu ya mtoto Yesu siku ya Desemba 24, 2014 wakati alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi kwenye mji wa Vatican. 
Pope Francis kisses the knee of a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'
Pope Francis akibusu goti sanamu ya mtoto Yesu kisses the knee of a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilic siku ya Desemba 24, 2014 wakati alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi kwenye mji wa Vatican. 
Pope Francis attends the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'
Pope Francis akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi katika kanisa la Mt. Peter ndani ya mji wa...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA VATICAN NA MWAKILISHI WA PAPA NCHINI TANZANIA AWASILI MKOANI KAGERA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA

Na Sylvester Raphael Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla atembelea mkoa wa Kagera katika ziara ya kujione shughuli mbalimbali za Kanisa Katoliki mkoani zinavyotekelezwa pia na kutoa Baraka za pamoja kwa wakristo wa kanisa hilo.  Balozi Padilla akiwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa Kagera alipowasili kumsalimia aliishukuru serikali ya mkoa wa Kagera kwa kuwaunganisha wananchi wa Kagera bila kujali imani zao ambapo wanafanya shughuli zao kila mmoja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis azungumzia familia

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani ameunga mkono haki ya wazazi kuchagua ukubwa wa familia zao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis atoa Mpya

Makasisi wa kanisa katoliki wanaangazia mafunzo ya familia, na kutoa wito wa kuwachukulia wenye mapenzi ya jinsia moja kwa usawa

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama kukutana na Papa Francis

Rais wa Marekani ,Barrack Obama anatarajiwa kukutana na kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani