PAPA FRANCIS ATEUA MAKADINALI 19 VATICAN

Makadinali wapya 19 wameteuliwa na Papa Francis leo kwenye sherehe iliyofanyika Vatican ikihudhuriwa na Papa mstaafu Benedict XVI. Uteuzi huo ni wa kwanza kwa Papa Francis tangu achukue nafasi ya kuliongoza Kanisa Katoliki. Ameteua makadinali hao kutoka nchi 12 zikiwemo Ivory Coast, Haiti na Burkina Faso.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Papa Francis awateua makadinali 20 wapya
11 years ago
Habarileo17 Jan
Papa atimua Makadinali
MAKADINALI wote isipokuwa mmoja waliokuwa wakisimamia benki ya Vatican wamefutwa kazi na Papa Francis. Waliokumbwa na ‘fagio hilo la chuma’ ni makadinali wanne ambao ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Kadinali Tarcisio Bertone SDB, Kadinali Odilo Scherer kutoka Brazil, Telesphore Toppo kutoka India na Domenico Calcagno kutoka Vatican.
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Papa kukutana na walio nyanyaswa Vatican
10 years ago
Vijimambo25 Dec
POPE FRANCIS AONGOZA MISA YA MKESHA WA KRISMASI VATICAN CITY

Pope Francis akiifunua sanamu ya mtoto Yesu siku ya Desemba 24, 2014 wakati alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi kwenye mji wa Vatican.

Pope Francis akibusu goti sanamu ya mtoto Yesu kisses the knee of a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilic siku ya Desemba 24, 2014 wakati alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi kwenye mji wa Vatican.

Pope Francis akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi katika kanisa la Mt. Peter ndani ya mji wa...
11 years ago
GPL
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
10 years ago
MichuziBALOZI WA VATICAN NA MWAKILISHI WA PAPA NCHINI TANZANIA AWASILI MKOANI KAGERA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Papa Francis azungumzia familia
11 years ago
BBCSwahili14 Oct
Papa Francis atoa Mpya
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Obama kukutana na Papa Francis