Papa atimua Makadinali
MAKADINALI wote isipokuwa mmoja waliokuwa wakisimamia benki ya Vatican wamefutwa kazi na Papa Francis. Waliokumbwa na ‘fagio hilo la chuma’ ni makadinali wanne ambao ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Kadinali Tarcisio Bertone SDB, Kadinali Odilo Scherer kutoka Brazil, Telesphore Toppo kutoka India na Domenico Calcagno kutoka Vatican.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Papa Francis awateua makadinali 20 wapya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgZmPQap3kQPr0*UmihKINLYjNjRlLjIV49NTyK-QS*GSJuCjG*m*E4u0YZEfhKKwWHNdyhyXy-3LMuHc8tSAJlR/Pope.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS ATEUA MAKADINALI 19 VATICAN
11 years ago
BBCSwahili22 Feb
Nchi changa zapata makadinali kadha
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
11 years ago
Habarileo03 Jul
Mwakyembe atimua watumishi wizara 3
WATUMISHI 13 wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, wametimuliwa kazi na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, kwa tuhuma za kuchafua sura ya nchi mbele ya Jumuiya ya Kimataifa, kuendekeza rushwa na kunyanyasa raia wa kigeni.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Netanyahu atimua mawaziri wawili Israel
10 years ago
Habarileo02 May
Nyalandu atimua askari wastaafu wa Marekani
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amekipiga marufuku kikundi cha wanajeshi wastaafu wa Marekani (Vetpaw) ambacho kinadai kupambana na majangili nchini.
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Rais Mugabe atimua mawaziri wake