Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakyembe atimua watumishi wizara 3

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison MwakyembeWATUMISHI 13 wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, wametimuliwa kazi na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, kwa tuhuma za kuchafua sura ya nchi mbele ya Jumuiya ya Kimataifa, kuendekeza rushwa na kunyanyasa raia wa kigeni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Wizara ya Habari akutana na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam



 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi akisalimiana na watumishi wa Wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam alipokutana nao mapema hii leo na kufanya kikao kwa lengo la kuweka mikakati ya wizara katika kipindi cha uongozi wake.Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi akifafanua jambo kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Haikuwa sahihi kumwondoa Dk Mwakyembe Wizara ya Uchukuzi

Machi, 2014 Dk Harrison Mwakyembe, mwandishi wa habari kitaaluma aliingia katika historia ya aina yake, kwa kushiriki kuunga mkono hoja ya kuzuia wanahabari wenzake kuingia na kuandika habari ndani ya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi Wizara ya Ardhi watimuliwa kikaoni

WATUMISHI kutoka Wizara ya Ardhi na wale wa Halmashauri ya Bagamoyo wamejikuta katika  wakati mgumu baada ya kutimuliwa katika kikao kilichoandaliwa na wakazi wa Kijiji cha Makaani Gama, Kata ya...

 

9 years ago

Habarileo

Watumishi Wizara ya Habari wakumbushwa kuwajibika

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel amewakumbusha watumishi wa wizara hiyo na taasisi zake wajibu wao wa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na tija na kamwe wasitumie maeneo hayo kama vichaka vya kujificha.

 

9 years ago

StarTV

Watumishi Wizara ya Afya wahimizwa kuwahi ofisini

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Hamis Kigwangala amesema ni marufuku kwa mtumishi wa wizara hiyo kuchelewa kazini ili kuendana na kasi ya maendeleo.

Uamuzi huo umekuja baada ya Naibu waziri huyo kuingia kazini saa 12 na robo asubuhi na kukuta Waziria, Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa rasilimali watu kuwa miongoni mwa  watumishi waliowahi wakati watumishi wengine wakiwa bado hawajafika ofisini.

 Zama za uwajibikaji, ndio hali halisi iliyojitokeza katika lango kuu...

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA KADA YA WALINZI WIZARA YA ELIMU WANOLEWA

 Kaimu Katibu mkuu wa Wizara  ya Elimu , Sayansi  na Teknolojia , Profesa James Mdoe akifafanua jambo wakati  wa ufunguzi wa mafunzo ya ulinzi na usalama katika utumishi wa umma kwa watumishi wa kada ya walinzi yanayofanyika kwa muda wa siku 10 kunzia Juni 15, mwaka huu (2020)  katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Savoy -Manispaa ya Morogoro na ( wa kwanza kushoto) ni Mratibu wa Mafunzo  na Mkufunzi mkuu kutoka Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA),Dk Hassanal  Issaya (kwanza kulia) ni Makamu...

 

9 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAMUAGA RAIS KIKWETE


Rais Kikwete akifunua kitambaa ambapo nyuma yake kuna picha ya Jengo la Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje linalokusudiwa kuanza kujengwa hivi karibuni. Rais Kikwete alifunua kitambaa hicho kuashiria kuanza ujenzi wa jengo hilo.Mhasibu Mkuu wa Wizara, Bw. Paul Kabale akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya  watumishi wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA COVID-19





Bw.Yusuph Seif Afisa Afya wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akitoa mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kwa watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ambayo yamefanyika leo Mtumba Jijini Dodoma.



Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo wakisikiliza mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani