Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumishi Wizara ya Habari wakumbushwa kuwajibika

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel amewakumbusha watumishi wa wizara hiyo na taasisi zake wajibu wao wa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na tija na kamwe wasitumie maeneo hayo kama vichaka vya kujificha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Wizara ya Habari akutana na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam



 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi akisalimiana na watumishi wa Wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam alipokutana nao mapema hii leo na kufanya kikao kwa lengo la kuweka mikakati ya wizara katika kipindi cha uongozi wake.Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi akifafanua jambo kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA COVID-19





Bw.Yusuph Seif Afisa Afya wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akitoa mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kwa watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ambayo yamefanyika leo Mtumba Jijini Dodoma.



Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo wakisikiliza mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI AFUNGA MAFUNZO ELEKEZI YA WATUMISHI WAPYA

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Bw. Barnabas Ndunguru akimkaribisha mgeni rasmi ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga (hayupo Pichani) katika ufungaji wa mafunzo elekezi kwa watumishi wapya wa Wizara.Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Sihaba Nkinga akiongea na baadhi ya Watumishi wapya wa Wizara katika ufungaji wa mafunzo elekezi...

 

11 years ago

Michuzi

Mifuko ya Pensheni yawapiga msasa watumishi wapya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

Muwasilishaji Toka Mfuko wa Pensheni wa NSSF Bw. Feruzi Mtika akiongea na waajiriwa wapya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuhusu aina ya Mafao wanayotoa iwapo watajiunga na Mfuko huo, wakati wa Semina iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Muwasilishaji toka Mfuko wa Pensheni wa GEPF Bi. Evelyne Kusenga akiwaeleza waajiriwa wapya wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo  kuhusu Mafao na faida wanayotoa iwapo watajiunga na Mfuko huo, wakati wa Semina iliyofanyika leo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefue awaasa watumishi wa umma kuwajibika

IMG_2041

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akisalimia na mmoja wa watendaji alipofanya ziara katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jana.

IMG_2047

Katibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue akizungumza na mmoja ya wagomjwa waliolazwa katika kitengo cha mifupa cha MOI Bw. Muhusin Hamiri.

IMG_2049

Katibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Bw Silasi David mmoja ya wagonjwa waliolazwa katika kitengo cha mifupa cha MOI.

l4rcGv50LjDQHFeh6RT_gramF3H79mGifGAdezg1_cA,CUPoLRR4NjXdPKubrK0Sdh0ckHYz23MmJhhvscZlrf8

Baadhi ya wagonjwa wakiwa wamelazwa katika wodi iliyopo kitengo cha mifupa MOI...

 

10 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ahimiza watumishi wake kuendelea kuwa wabunifu katika kutekeleza majukumu yao

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi cha kawaida ambacho ufanyika kila baada ya miezi mitatuKikao hicho kimefanyika jana katika ukumbi wa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Magreth Mtaki.Naibu Katibu Mkuu...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU KAILIMA AWATAKA WATUMISHI NIDA KUTUNZA SIRI, KUSHIRIKIANA NA KUWAJIBIKA

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (katikati) akizungumza wakati akifungua Kikao cha Baraza la Wafanyakazi, Tawi la Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo. Kailima aliwataka watumishi wa NIDA kufanya kazi kwa kushirikiana, uwajibikaji kwa upande wa mwajiri na mwajiriwa, pamoja na kutunza siri za ofisi. Kulia ni Mwenyekiti wa Baraza hilo, Dkt. Arnold Kihaule. Kushoto ni Katibu wa Baraza, Lulu Ishengoma.  Picha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani