Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ahimiza watumishi wake kuendelea kuwa wabunifu katika kutekeleza majukumu yao
![](http://2.bp.blogspot.com/-LKii83Gol00/VPcdEF2YnTI/AAAAAAAHHrw/XJqsyXOC3I8/s72-c/KM1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi cha kawaida ambacho ufanyika kila baada ya miezi mitatuKikao hicho kimefanyika jana katika ukumbi wa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Magreth Mtaki.
Naibu Katibu Mkuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-00.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari akutana na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s640/Pix-00.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/Pix-02.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EQ4f9_op3Ss/VEo_eyEbbKI/AAAAAAAGtIA/ZpmyU2jdj2w/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI AFUNGA MAFUNZO ELEKEZI YA WATUMISHI WAPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EQ4f9_op3Ss/VEo_eyEbbKI/AAAAAAAGtIA/ZpmyU2jdj2w/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-znpIBVxbIMc/VEo_fJ00rZI/AAAAAAAGtH8/4Bp2VYbWSWs/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OII46PIbulw/XvCI7XwHESI/AAAAAAALu6E/v0ZwHfmJh_MXFHQ2w9Ab4pFdzJadZXh0gCLcBGAsYHQ/s72-c/12..jpg)
RAIS MAGUFULI AONESHA KUSIKITISHWA NA WATEULE WAKE WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OII46PIbulw/XvCI7XwHESI/AAAAAAALu6E/v0ZwHfmJh_MXFHQ2w9Ab4pFdzJadZXh0gCLcBGAsYHQ/s400/12..jpg)
*Azungumzia vijana kutoridhika kwenye nafasi walizonazo...atoa siri ya Gambo
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amesema huwa anasikitishwa kuona watu ambao wamewapa nafasi na kuwaamini wanashindwa kutekeleza yale ambayo amewatuma kwenda kufanya na badala yake wanakwenda kufanya ya kwao huku akitumia nafasi hiyo kuzungumzia vijana ambao amewapa nafasi lakini hawaridhiki nazo.
Akizungumza leo Juni 22, 2020...
10 years ago
Dewji Blog03 May
RC Singida awataka wafanyakazi kutekeleza majukumu yao katika kuzingatia mikataba
Baadhi ya wafanyakazi mkoani Singida, wakishiriki maandamano kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi) mwaka huu iliyofanyika kwenye uwanja wa Namfua mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, amewaasa watumishi wa umma kuwa wasiwe wepesi wa kudai haki zao, bali kwanza watimize wajibu wao kikamilifu kwa madai kwamba haki na wajibu huambatana pamoja.
Dk.Kone ametoa usia huo wakati...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...
11 years ago
MichuziProf. Mchome awataka Watumishi wa Wizara ya Elimu kuwa Wabunifu
“Watumishi wa Wizara hii tunatakiwa tujiulize tunafanya ubunifu gani ili kuhakisha wahitimu katika ngazi mbalimbali wanapata maarifa yanayotakiwa na wanaoweza kusaidia nchi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqK70POAZwc/U0ZxAcGc6hI/AAAAAAAFZsc/0fhAFOIc9qc/s72-c/IMG_3294.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI KATIKA KONGAMANO LA KIGODA CHA MWALIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqK70POAZwc/U0ZxAcGc6hI/AAAAAAAFZsc/0fhAFOIc9qc/s1600/IMG_3294.jpg)