Marehemu Changa aliokotwa na muuza makopo
![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcK20oPXEd700dhX7WRTyMyDOFuNwi*p9zStKLvGkUkIDPdjaPP3DrBsM9IjZuymHMeqpk6rTD5EXXizqEjIEDwo/MAREHEMU.jpg?width=550)
Mchezaji wa zamani wa Yanga, JKT Ruvu na Moro United ambako alikuwa akiichezea hivi sasa Omary Changa amefariki dunia. (Picha: Omary Changa ni wa tatu kutoka kushoto waliosimama, hapa akiwa anaichezea JKT Ruvu) Hans Mloli na Sweetbert Lukonge MAREHEMU Omari Changa aliyefariki dunia Jumapili iliyopita ambapo gazeti hili lilikuwa la kwanza kuripoti, imeelezwa kuwa mwili wake uligundulika tangu asubuhi ya siku… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dbWH2cAJRUI/UwnnzziCVfI/AAAAAAAFPAo/Nn1IZRaF3-E/s72-c/IMG_3580.jpg)
WADAU WA SOKA WAMUNZI MAREHEMU OMARY CHANGA KWA BONANZA LA SOKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dbWH2cAJRUI/UwnnzziCVfI/AAAAAAAFPAo/Nn1IZRaF3-E/s1600/IMG_3580.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DX1UY_RR0O4/Uwnn7JbgLOI/AAAAAAAFPA0/hZkI4ChGGvk/s1600/IMG_3649.jpg)
11 years ago
GPLBIBI MJASIRIAMALI WA MAKOPO AENDESHA MAISHA DAR
11 years ago
CloudsFM09 Jul
WATU WAMSHANGAA IZO BUSINESS BARABARANI MCHAFU ANAOKOTA MAKOPO
Hivi karibuni wakazi wa maeneo ya Sinza,jijini Dar walipata mshangao baada ya kumwona Rapa Izzo Businezz akiwa akiwa mchafu akipiga njaa kwa ajili ya cover ya ngoma yake mpya inaitwa ‘Walalahoi’, ambayo Izzo ameonekana akiwa kwenye banda la mkaa na nyingine ameonekana akiwa barabarani huku akiwa ameshikilia gunia lake la makopo.
Huyu hapa Izzo Business akifunguka changamoto zilikuaje kwenye kupiga picha za cover za ngoma hii.
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Wakati Uswahilini mkigombania makopo ya msalani, wenzenu hadi mbwa ana choo chake!
WALIOSEMA, maisha ni safari ndefu, sina budi kuwapongeza kwa maana katika hali ya kawaida ya maisha yetu na hususan kwa watu wa kipato cha chini na kati, kwa kweli kila...
5 years ago
Bongo514 Feb
Jocktan Makeke: Mbunifu wa Tanzania anayetumia ngozi, mifupa, miti, makopo na vingine kutengeneza nguo
Kabla wakoloni hawajaja Afrika na kututawala, mababu zetu walikuwa wakiishi kwa kutegemea mazingira yanayowazunguka.
Mavazi waliyovaa, yalitokana na miti na vitu vingine vya asili. Baada ya mkoloni kuja na kudai kuleta ustaarabu Afrika, mengi yalibadilika. Tukipeleka mbele hadi mwaka 2017, asilimia zaidi ya 90 ya nguo ambazo Watanzania tunavaa, ni zile zilizotengenezwa nje na nyingi huja kama mitumba.
Mbunifu wa mavazi/Msanii wa mitindo, Jocktan Makeke ana jicho la tofauti katika namna...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DuwM4HxIS7Y/VK2jAsW4t3I/AAAAAAAG758/_0UM0QwaVqc/s72-c/IMG-20150108-WA0008.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwMaPD9bqKuLXLNvF7QjqlGmeKHy6r4hYlPrR0zOcN1V8-5fWh3*cUWBFfTjOPYZ20YJsYW09zwfuNcmZabz0iF7/dentiz.jpg)
DENTI ABAKWA NA MUUZA GENGE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1gc__G5h4C4/VGphi6iDBfI/AAAAAAAGx-I/GquKptm9IKE/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU Marehemu Omar Ndege Mgori KUFANYIKA NOVEMBA 23, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-1gc__G5h4C4/VGphi6iDBfI/AAAAAAAGx-I/GquKptm9IKE/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
Dua maalumu ya kumuombea Marehemu Omar Ndege Mgori imepangwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FsbI7diFASg/VA3Z4xuKHCI/AAAAAAAGiF4/y9o7GiRW89Y/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
TASWIRA ZA MAZIKO YA MAREHEMU SPIKA MSTAAFU WA BARAZA LA WAWAKILISHI MAREHEMU ALI KHAMIS ABDALLAH
![](http://2.bp.blogspot.com/-FsbI7diFASg/VA3Z4xuKHCI/AAAAAAAGiF4/y9o7GiRW89Y/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5GYcnFj-Ts/VA3Z57wOLKI/AAAAAAAGiGE/vZWMU8VnUH8/s1600/unnamed%2B(7).jpg)