Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKWARA WA MUUZA MAEMBE



Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi afariki akisaka maembe

MWANAFUNZI Hamimu Mussa (11), wa Shule ya Msingi Uhuru  Manispaa ya Kigoma Ujiji, amefariki dunia baada ya kuanguka kwenye mti wa mwembe na mwingine kuvunjika mguu na mkono. Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jhikoman, Zawose, Maembe kupamba ‘Karibu Festival’

Px 1

Msemaji  wa  tamasha la Karibu Music Festival, Muslim Nassor  ‘Jazzphaa’ (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo.

..Wapo pia Prof. Jay, Barnaba, Shilole

Na Andrew Chale

WASANII kutoka ndani na nje wanatarajiwa kupamba tamasha la Muziki la Kimataifa la ‘Karibu  Music Festival’ litakalofanyika kwa siku tatu kwenye mji wa Kihistoria wa Bagamoyo, Novemba 7 hadi 9 mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika ukumbi wa...

 

11 years ago

Michuzi

WAZAZI WEZESHENI WATOTO WAKIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI - MAEMBE

Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Bibi. Anna T. Maembe akisisita haja na umuhimu wa wazazi kuwawezesha watoto wao wa kike kuyapenda masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na hesabu ( STEM) badala ya kuliachia jukumu hilo serikali au walimu. Alikuwa akizungumza katika mkutano wa pembezoni ulioandaliwa kwa pamoja kati ya Tanzania, Uingereza na Kampuni ya Kimataifa ya GlaxoSmithkline ili kujadili fursa na changamoto za mwanafunzi wa kike katika masomo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa Baba wa Taifa na Vitalis Maembe kupanda Mlima Kilimanjaro kuchangia jukwaa la sanaa

DSC_0009

Afisa Habari wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Mandolin Kahindi akitambulisha viongozi wa CDEA kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) pamoja na dhumuni la kuitisha mkutano huo.

Na Mwandishi wetu

Madaraka Nyerere, Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, pamoja na Mwanamuziki Mzalendo Vitali Maembe wameteuliwa na shirika lisilo la kiserikali Culture and Development East Africa (CDEA) kuwa mabalozi wa kushiriki kampeni ya kupanda Mlima...

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA BABA WA TAIFA NA VITALIS MAEMBE KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGIA JUKWAA LA SANAA‏

Afisa Habari wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Mandolin Kahindi akitambulisha viongozi wa CDEA kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) pamoja na dhumuni la kuitisha mkutano huo. Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Ayeta Wangusa (wa pili kushoto) akielezea lengo la kuanzishwa kwa Jukwaa la sanaa na… ...

 

10 years ago

GPL

DENTI ABAKWA NA MUUZA GENGE

Stori: Shani Ramadhani na Denis Mtima Msala! Kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai kilichopo Mbagala, Dar kuna faili la kesi namba MBL/RB/ 9817/2014- KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI ambalo linamsaka kijana Juma Athumani (30), mkazi wa Charambe, Mbagala kwa kosa la ubakaji wa denti wa darasa la saba. Denti wa darasa la saba aliyebakwa na muuza genge anayefahamika kwa jina la Juma Athumani (30) Habari za kiintelijensia zilidai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muuza magazeti ajinyonga kwa soksi

WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la muuza magazeti Abel Damas, mkazi wa Kinondoni mtaa wa Togo kujinyonga kwa soksi. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msako mkali Mexico wa muuza mihadarati

Mamlaka ya nchini Mexico limeanza msako mkali wa kumtafuta Joaguin Guzman gwiji la biashara ya madawa ya kulevya duniani, kufuatia kutoroka kwake katika gereza lenye ulinzi mkali mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

Habarileo

Muuza chipsi atunukiwa nishani ya ushupavu

Rais Jakaya Kikwete akimvisha nishani ya ushupavu muuza chipsi, Kassim Said Kassim baada ya kupambana na kumdhibiti jambazi mwenye silaha. (Picha na Freddy Maro).MUUZA chipsi wa Dar es Salaam, Kassim Said (28), alivuta hisia za waalikwa na viongozi mbalimbali akiwemo Rais Jakaya Kikwete, juzi jioni kwenye sherehe za kutunuku nishani, baada ya kupewa Nishani ya Ushupavu, aliouonesha baada ya kumpiga jambazi kwa chepe na kufanikisha kukamatwa kwake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani