MKWARA WA MUUZA MAEMBE
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Mwanafunzi afariki akisaka maembe
MWANAFUNZI Hamimu Mussa (11), wa Shule ya Msingi Uhuru Manispaa ya Kigoma Ujiji, amefariki dunia baada ya kuanguka kwenye mti wa mwembe na mwingine kuvunjika mguu na mkono. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Jhikoman, Zawose, Maembe kupamba ‘Karibu Festival’
Msemaji wa tamasha la Karibu Music Festival, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo.
..Wapo pia Prof. Jay, Barnaba, Shilole
Na Andrew Chale
WASANII kutoka ndani na nje wanatarajiwa kupamba tamasha la Muziki la Kimataifa la ‘Karibu Music Festival’ litakalofanyika kwa siku tatu kwenye mji wa Kihistoria wa Bagamoyo, Novemba 7 hadi 9 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika ukumbi wa...
11 years ago
MichuziWAZAZI WEZESHENI WATOTO WAKIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI - MAEMBE
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
Mtoto wa Baba wa Taifa na Vitalis Maembe kupanda Mlima Kilimanjaro kuchangia jukwaa la sanaa
Afisa Habari wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Mandolin Kahindi akitambulisha viongozi wa CDEA kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) pamoja na dhumuni la kuitisha mkutano huo.
Na Mwandishi wetu
Madaraka Nyerere, Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, pamoja na Mwanamuziki Mzalendo Vitali Maembe wameteuliwa na shirika lisilo la kiserikali Culture and Development East Africa (CDEA) kuwa mabalozi wa kushiriki kampeni ya kupanda Mlima...
10 years ago
GPLMTOTO WA BABA WA TAIFA NA VITALIS MAEMBE KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGIA JUKWAA LA SANAA
10 years ago
GPLDENTI ABAKWA NA MUUZA GENGE
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Muuza magazeti ajinyonga kwa soksi
WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la muuza magazeti Abel Damas, mkazi wa Kinondoni mtaa wa Togo kujinyonga kwa soksi. Kamanda wa Polisi Mkoa...
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Msako mkali Mexico wa muuza mihadarati
10 years ago
Habarileo11 Dec
Muuza chipsi atunukiwa nishani ya ushupavu
MUUZA chipsi wa Dar es Salaam, Kassim Said (28), alivuta hisia za waalikwa na viongozi mbalimbali akiwemo Rais Jakaya Kikwete, juzi jioni kwenye sherehe za kutunuku nishani, baada ya kupewa Nishani ya Ushupavu, aliouonesha baada ya kumpiga jambazi kwa chepe na kufanikisha kukamatwa kwake.