Muuza chipsi atunukiwa nishani ya ushupavu
MUUZA chipsi wa Dar es Salaam, Kassim Said (28), alivuta hisia za waalikwa na viongozi mbalimbali akiwemo Rais Jakaya Kikwete, juzi jioni kwenye sherehe za kutunuku nishani, baada ya kupewa Nishani ya Ushupavu, aliouonesha baada ya kumpiga jambazi kwa chepe na kufanikisha kukamatwa kwake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Muuza chips apata nishani ya Rais
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Warioba atunukiwa nishani iliyotukuka
10 years ago
Habarileo28 Apr
Askari shupavu wa kike atunukiwa nishani
RAIS Jakaya Kikwete ametunuku watu 42 nishani akiwamo askari wa kike, Koplo Laura Mushi (32) kwa ushupavu alioonesha baada ya kupambana na kujiokoa dhidi ya majambazi waliomvamia hivi karibuni katika kituo cha ulinzi Mikumi, Morogoro.
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Askofu wa kanisa la FPCT Singida mjini Paulo Samwel Njoghomi, atunukiwa nishani ya heshima ya udaktari
Maandamano ya sherehe ya kutunukiwa nishani ya heshima ya udaktari Askofu Paulo Samwel Njoghomi (mwenye miwani) wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Singida mjini. Nishani hiyo imetolewa na Chuo kikuu cha Africa Graduate cha nchini Sierra Leone.
![DSC07112](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC07112.jpg)
9 years ago
MichuziBALOZI KAMALA ATUNUKIWA NISHANI YA BALOZI BORA WA AFRIKA BRUSSELS
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Oscar Pistorius; toka ushupavu hadi uhalifu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeVqBM1UBf3DezWUujyOAkwld5H3aTgedUEzhZwgYsGQGEj-x2w2Mgts9SmBMw6Dyi-y4Oh7GAFptRSL1Pvdr7*/Mayai.jpg?width=650)
BALAA LA WAJAWAZITO KUPENDA CHIPSI KUKU
10 years ago
Mwananchi29 Aug
VYAKULA NA MAGONJWA: Hadhari kwa watumiaji wa samaki, chipsi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OrK_AOeNfg4/XmejbkxK7II/AAAAAAALidM/Q70bS4lz7HseIOF_Dkj8Yp6CVxSu1b8QACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Msingi wa maisha yako, familia ni uwekezaji, chipsi kuku ni umaskini
FAMILIA za Kiafrika mara nyingi zimekuwa na wanafamilia wasiopungua wanane. Hiyo ni staili ya maisha hasa pale familia inapukuwa na ahueni ya kipato japo kidogo.
Utakuta familia kama hizo zina utamaduni wa kudekeza watoto, utasikia kanunueni chipsi kuku, watoto utawasikia wakisema sisi hatupendi ugali, maharage, mchicha na mtindi.
Maharage ndio usiseme kabisa, utamsikia mama akiwauliza watoto sasa mtakula nini? jibu rahisi la watoto utawasikia wakisema chipsi kuku au chipsi zege (mayayi) na...