VYAKULA NA MAGONJWA: Hadhari kwa watumiaji wa samaki, chipsi
>Kama moja ya njia ya kupunguza gharama za matumizi, watu wengi wanatumia mafuta yaleyale zaidi ya mara moja kukaangia vyakula mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 May
VYAKULA NA MAGONJWA: Ulaji unaofaa wa machungwa
>Kutokana na makala ya wiki iliyopita iliyohimiza watu kula matikiti na kutafuna mbegu zake, msomaji wetu mmoja alitaka kujua faida na hasara ya kutafuna mbegu za machungwa.
9 years ago
Mwananchi14 Aug
VYAKULA NA MAGONJWA: Hatari ya kumnyonyesha mtoto maziwa ya kopo
Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kuwa maziwa ya mama ni chanzo kizuri cha lishe bora kwa watoto kuanzia wachanga na ni hakikisho bora la uhai na makuzi ya mtoto.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r86mgXobb40/VRVqvff7RVI/AAAAAAAHNp4/qnCS4F4w94M/s72-c/1.jpg)
SAMAKI SAMAKI KUCHANGIA ELIMU KWA WATOTO YATIMA
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuv-QblZ68pYsC*8K-xIG*m1UdoEtmsodbHbPj1WQnu*vPva5tRekA25K-wPlQJLZ3wkyxXSAba7GhbREU6W9s3W/Daudi.gif?width=650)
MTEJA: KISA NILIMKOPA CHIPSI, AKANILIPUA KWA MAFUTA YA MOTO!
Shani Ramadhani na Haruni Sanchawa
Nusu kifo! Kijana aliyefahamika kwa jina la Hanafi Daudi (31), mkazi wa Salasala Kilimahewa jijini Dar, yupo katika hali tete kufuatia kumwagiwa mafuta ya moto yaliyokuwa yanakaangia chipsi.Hanafi ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewa Haji amesema aliyemchoma moto ni muuza chipsi ambaye alikwenda kumkopa chipsi. Hanafi Daudi akiwa na majeraha usoni baada ya kuchomwa...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wanaotaka kuvunjwa kwa SUK Zanzibar, wachukue hadhari kabla ya hatari
Ni miaka minne sasa tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani Zanzibar (SUK), ambayo kwa kiasi kikubwa imerejesha siasa za kistaarabu, ushindani wa sera za vyama, amani na utulivu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A_gEwZBSsvM/VabjsBhtUTI/AAAAAAABjXo/IERsB3eJMSQ/s72-c/OFFICIAL%2BPOSTER.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fi8JaCfKDHs/VL_GqSbYNxI/AAAAAAAG-wQ/cVS8-e7_MWI/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBS0-0Ni0-E/U4OU1O1o5QI/AAAAAAAFlQs/Mz4xStem7eo/s72-c/unnamed+(66).jpg)
TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ , litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Nyumbani Park (Samaki samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.
Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo, Kareeem Omary ‘KO’ amesema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert - Kumbukumbu ya kifo cha Albert Mangwe’.
Kareem amewaomba wadau...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LvDVQzCM3iuYO7UFTjnUFu-BwMg*KGeb6K-Tua3wHehsow5b7gL9WBwHbsGYfqGZAApCFSUVJ1ltIgFgXTAnKJG/AlbertMangwair.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA MEI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
Mangwea enzi za uhai wake . Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo la ‘Love Concert –Kumbukumbu ya Mangwea’, Kareeem Omary ‘KO’ (kushoto) akiwa na familia ya marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ Mama mzazi wa Mangwea (Katikati) na kaka wa Mangwea, Keneth Mangwea (kulia).…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania