Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaotaka kuvunjwa kwa SUK Zanzibar, wachukue hadhari kabla ya hatari

Ni miaka minne sasa tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani Zanzibar (SUK), ambayo kwa kiasi kikubwa imerejesha siasa za kistaarabu, ushindani wa sera za vyama, amani na utulivu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

SUK isibezwe, imeleta utulivu na amani Zanzibar

Tunashangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa CCM huko Zanzibar kwamba wanachama wa chama hicho wamechoshwa na muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK).

 

5 years ago

BBCSwahili

Mama wa watoto 4 aliyetafuta penzi juu chini kabla ya kuvunjwa moyo

Grace Destiny alikuwa akitafuta mpenzi kwa udi na uvumba hata ikafikia kiwango cha yeye kutoa pesa kwa mpenzi aliye naye.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU ASHIRIKI TUKIO LA KUVUNJWA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid (kulia) na Katibu wa Baraza la Wawakilishi, Raya Issa Musellem  wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Baraza la Wakilishi  kushiriki katika tukio la kuvunjwa kwa Baraza hilo kulikofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt, Ali Mohammed Shein, Juni 20, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Rais wa Zanzibar n a Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!

NIJumanne nyingine, namshukuru Mungu ameniwezesha kuifikia kwa namna yoyote ile!
Jumanne yetu ya leo tutakuwa na mada isemayo ‘wanaoficha ‘makucha’ kabla ya ndoa ni hatari zaidi’.
Nimelifungia neno ‘makucha’ kwa sababu kimazoea tunaita hivyo lakini kiuhalisia si makucha ni kucha. Zikiwa nyingi, ikiwa moja ni kucha!

Kuna wanaoficha makucha kabla ya ndoa ni msemo au hoja ambayo ipo miongoni mwa jamii yetu! Wengi hudai wapo wanawake au wanaume wenye tabia hii! Kwamba, kabla hajaolea au hajaoa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kabla ya hatari: Manispaa ya Singida mko wapi?

DSC04913

Jengo linalotumiwa na wafanyabiashara wa Tumbaku soko kuu mjini Singida,likiwa limechaa na kukosa sifa ya kutumiwa kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya wafanyabiashara hao pamoja na wateja wao. Pamoja na kuchakaa kwa kiwango kikubwa, lakini manispaa ya Singida inajipatia ushuru kutoka kwa wafanyabiashara wa Tumbaku ambao wamedai wameililia manispaa hiyo kuliboresha,lakini juhudi zao zimeshindwa kuzaa matunda.(Picha naNathaniel Limu).

DSC04917

 

10 years ago

GPL

WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!

NIJumanne nyingine, namshukuru Mungu ameniwezesha kuifikia kwa namna yoyote ile!
Jumanne yetu ya leo tutakuwa na mada isemayo ‘wanaoficha ‘makucha’ kabla ya ndoa ni hatari zaidi’.
Nimelifungia neno ‘makucha’ kwa sababu kimazoea tunaita hivyo lakini kiuhalisia si makucha ni kucha. Zikiwa nyingi, ikiwa moja ni kucha! Kuna wanaoficha makucha kabla ya ndoa ni msemo au hoja ambayo ipo...

 

10 years ago

Mwananchi

VYAKULA NA MAGONJWA: Hadhari kwa watumiaji wa samaki, chipsi

>Kama moja ya njia ya kupunguza gharama za matumizi, watu wengi wanatumia mafuta yaleyale zaidi ya mara moja kukaangia vyakula mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

Gereza la Songwe kuvunjwa kwa madini

Gereza la Songwe mkoani hapa linatarajiwa kuvunjwa na kujengwa sehemu nyingine kupisha uchimbaji wa madini adimu duniani ya niobium.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani