Tahadhari kabla ya hatari: Manispaa ya Singida mko wapi?
Jengo linalotumiwa na wafanyabiashara wa Tumbaku soko kuu mjini Singida,likiwa limechaa na kukosa sifa ya kutumiwa kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya wafanyabiashara hao pamoja na wateja wao. Pamoja na kuchakaa kwa kiwango kikubwa, lakini manispaa ya Singida inajipatia ushuru kutoka kwa wafanyabiashara wa Tumbaku ambao wamedai wameililia manispaa hiyo kuliboresha,lakini juhudi zao zimeshindwa kuzaa matunda.(Picha naNathaniel Limu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Viongozi wa dini mko wapi?
VIONGOZI wa dini mara zote wamekuwa mstari wa mbele kukemea chokochoko zote zenye viashiria vya kuvunja amani na mshikamano katika taifa letu. Tumewasikia viongozi hao kila mara wakiwakemea waumini wao...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Posho ya wabunge Mfutakamba, Mabumba mko wapi?
NIANZE kwa kukushukuru wewe msomaji wangu kwa namna unavyonitia moyo katika makala zangu hizi. Ninajisikia faraja ninapopata mrejesho kutoka kwako. Nafurahi zaidi ninapopata mrejesho katika maeneo ya mbali kabisa na...
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Mko Wapi Waandishi wa ‘Script’, Nitanunua kwa Bei Yoyote-JB
Tasnia yetu ya filam inakabiliwa na changa moto mbalibali lakini kwangu mimi changa moto kubwa kuliko zote inayo ninyima usingizi ni waandishi wa miswaada(script).
Hili kwangu ndio tatizo kubwa kuliko yote, mfano natarajia kufanya filam yangu na King Majuto, tangu mwaka jana mwezi wa 8 mpaka leo kati ya script 10 nilizoletewa hakuna inayo faa.
Mko wapi waandishi? niko tayari kununua kwa bei yoyote.Lakini ukiniletea kituko tarajia ngumi kama malipo ya usumbufu, ndiyo maana tangu nitoe mzee...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
SUMATRA mko wapi? Abiria hawa wameteseka zaidi ya masaa 6 bila msaada
![](http://1.bp.blogspot.com/-pSvVibmA0CY/U-8xdb0-0pI/AAAAAAAAVnU/EJBE8PKbOBE/s1600/IMG-20140816-WA0009.jpg)
Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6 abiria ambao walikuwa wanaelekea Mwanza na basi la Princes shabaha wamezidi teseka huku hawajui hatima yao ya safari
Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX Wamekwama maeneo ya Kibamba jiji Dar es Salaam huku kina mama na watoto wakizidi teseka,
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4fQwhTIxjA/U-8xdk-zF1I/AAAAAAAAVng/7fUE0v-X_g8/s1600/IMG-20140816-WA0011.jpg)
Mama huyu akiteseka na mtoto mdogo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kyn7XenJyvg/U-8xducZ7II/AAAAAAAAVnY/nECKYq76ZDA/s1600/IMG-20140816-WA0012.jpg)
Abiria wakiwa nje ya basi
![](http://1.bp.blogspot.com/-XSLyKgaMrBk/U-8xeqEKYWI/AAAAAAAAVnk/1uX5lTP2XX8/s1600/IMG-20140816-WA0013.jpg)
Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JnDq9BgVkDc/U-8xfoHnvhI/AAAAAAAAVoI/59AIi7WFNl4/s1600/IMG-20140816-WA0015.jpg)
Hizi ndio namba za basi hilo.
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_HY1p7qXs/U-8xguIrxFI/AAAAAAAAVn4/12ngLYftJTE/s1600/IMG-20140816-WA0017.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_UyD7oB4Mw8/U-8xg5tIugI/AAAAAAAAVoA/YxnvryOEWXk/s1600/IMG-20140816-WA0018.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida
![IMG_1124](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1124.jpg)
![IMG_1132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1132.jpg)
![IMG_1142](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1142.jpg)
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Tahadhari:'Hatari za urembo bandia'
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Kimbunga ni majanga ya hatari, chukua tahadhari
10 years ago
Vijimambo09 Dec
WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!
Jumanne yetu ya leo tutakuwa na mada isemayo ‘wanaoficha ‘makucha’ kabla ya ndoa ni hatari zaidi’.
Nimelifungia neno ‘makucha’ kwa sababu kimazoea tunaita hivyo lakini kiuhalisia si makucha ni kucha. Zikiwa nyingi, ikiwa moja ni kucha!
Kuna wanaoficha makucha kabla ya ndoa ni msemo au hoja ambayo ipo miongoni mwa jamii yetu! Wengi hudai wapo wanawake au wanaume wenye tabia hii! Kwamba, kabla hajaolea au hajaoa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oj4MhhoM4fSCIForGdfUCdSaVmQ8mIsgc1p7zTvkvv489z9xD1TLDIXXDZGM0ADisfr1o1ez4TVwb*zUCEGDRjuO3vPhmEeQ/xxlv.jpg)
WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!