Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mko Wapi Waandishi wa ‘Script’, Nitanunua kwa Bei Yoyote-JB

Tasnia yetu ya filam inakabiliwa na changa moto mbalibali lakini kwangu mimi changa moto kubwa kuliko zote inayo ninyima usingizi ni waandishi wa miswaada(script).

Hili kwangu ndio tatizo kubwa kuliko yote, mfano natarajia kufanya filam yangu na King Majuto, tangu mwaka jana mwezi wa 8 mpaka leo kati ya script 10 nilizoletewa hakuna inayo faa.

Mko wapi waandishi? niko tayari kununua kwa bei yoyote.Lakini ukiniletea kituko tarajia ngumi kama malipo ya usumbufu, ndiyo maana tangu nitoe mzee...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa dini mko wapi?

VIONGOZI wa dini mara zote wamekuwa mstari wa mbele kukemea chokochoko zote zenye viashiria vya kuvunja amani na mshikamano katika taifa letu. Tumewasikia viongozi hao kila mara wakiwakemea waumini wao...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Atangaza Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote

Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.

“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Atanzaga Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote

Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.

“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho ya wabunge Mfutakamba, Mabumba mko wapi?

NIANZE kwa kukushukuru wewe msomaji wangu kwa namna unavyonitia moyo katika makala zangu hizi. Ninajisikia faraja ninapopata mrejesho kutoka kwako. Nafurahi zaidi ninapopata mrejesho katika maeneo ya mbali kabisa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kabla ya hatari: Manispaa ya Singida mko wapi?

DSC04913

Jengo linalotumiwa na wafanyabiashara wa Tumbaku soko kuu mjini Singida,likiwa limechaa na kukosa sifa ya kutumiwa kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya wafanyabiashara hao pamoja na wateja wao. Pamoja na kuchakaa kwa kiwango kikubwa, lakini manispaa ya Singida inajipatia ushuru kutoka kwa wafanyabiashara wa Tumbaku ambao wamedai wameililia manispaa hiyo kuliboresha,lakini juhudi zao zimeshindwa kuzaa matunda.(Picha naNathaniel Limu).

DSC04917

 

10 years ago

Dewji Blog

SUMATRA mko wapi? Abiria hawa wameteseka zaidi ya masaa 6 bila msaada

Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6  abiria ambao walikuwa wanaelekea Mwanza na basi la Princes shabaha  wamezidi teseka  huku  hawajui hatima yao ya safari

 Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX  Wamekwama maeneo ya Kibamba jiji Dar es Salaam huku kina mama na watoto wakizidi teseka,

Mama huyu akiteseka na mtoto mdogo.

Abiria wakiwa nje ya basi

Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine.

IMG-20140816-WA0014

Hizi ndio namba za basi hilo.

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee: Mko tayari kwa kitu kipya Nov. 28?

Ni single mpya na video mpya! Hilo ndio jibu la alilouliza Lady Jaydee kwa mashabiki wake kwenye ukurasa wa Facebook; Are you ready for something new?! How about November 28th?! Stay tuned.” Picha na Osse Sinare Akiongea na East Africa Radio hivi karibuni, Lady Jaydee aliutaja wimbo mpya atakaoutoa mwishoni mwa mwezi huu. “Mwezi wa […]

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU

 Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani), ndani ya Idara ya Habari MAELEZO,mapema leo jijini Dar kuhusiana na matokeo ya harambee ya Media Car Wash for Cancer Campaign, inayoendelea nchini.  Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utaifa utatetewa kwa gharama yoyote.

HARAKATI za kupigania huru ndani ya Tanganyika, zilianza tangu wakati wa uvamizi wakoloni wa Kijerumani uliofanyika kuanzia robo ya mwaka ya karne ya 19  hadi mwanzoni mwa karne ya 20. Viongozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani