Viongozi wa dini mko wapi?
VIONGOZI wa dini mara zote wamekuwa mstari wa mbele kukemea chokochoko zote zenye viashiria vya kuvunja amani na mshikamano katika taifa letu. Tumewasikia viongozi hao kila mara wakiwakemea waumini wao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Posho ya wabunge Mfutakamba, Mabumba mko wapi?
NIANZE kwa kukushukuru wewe msomaji wangu kwa namna unavyonitia moyo katika makala zangu hizi. Ninajisikia faraja ninapopata mrejesho kutoka kwako. Nafurahi zaidi ninapopata mrejesho katika maeneo ya mbali kabisa na...
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Tahadhari kabla ya hatari: Manispaa ya Singida mko wapi?
Jengo linalotumiwa na wafanyabiashara wa Tumbaku soko kuu mjini Singida,likiwa limechaa na kukosa sifa ya kutumiwa kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya wafanyabiashara hao pamoja na wateja wao. Pamoja na kuchakaa kwa kiwango kikubwa, lakini manispaa ya Singida inajipatia ushuru kutoka kwa wafanyabiashara wa Tumbaku ambao wamedai wameililia manispaa hiyo kuliboresha,lakini juhudi zao zimeshindwa kuzaa matunda.(Picha naNathaniel Limu).
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Mko Wapi Waandishi wa ‘Script’, Nitanunua kwa Bei Yoyote-JB
Tasnia yetu ya filam inakabiliwa na changa moto mbalibali lakini kwangu mimi changa moto kubwa kuliko zote inayo ninyima usingizi ni waandishi wa miswaada(script).
Hili kwangu ndio tatizo kubwa kuliko yote, mfano natarajia kufanya filam yangu na King Majuto, tangu mwaka jana mwezi wa 8 mpaka leo kati ya script 10 nilizoletewa hakuna inayo faa.
Mko wapi waandishi? niko tayari kununua kwa bei yoyote.Lakini ukiniletea kituko tarajia ngumi kama malipo ya usumbufu, ndiyo maana tangu nitoe mzee...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
SUMATRA mko wapi? Abiria hawa wameteseka zaidi ya masaa 6 bila msaada
![](http://1.bp.blogspot.com/-pSvVibmA0CY/U-8xdb0-0pI/AAAAAAAAVnU/EJBE8PKbOBE/s1600/IMG-20140816-WA0009.jpg)
Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6 abiria ambao walikuwa wanaelekea Mwanza na basi la Princes shabaha wamezidi teseka huku hawajui hatima yao ya safari
Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX Wamekwama maeneo ya Kibamba jiji Dar es Salaam huku kina mama na watoto wakizidi teseka,
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4fQwhTIxjA/U-8xdk-zF1I/AAAAAAAAVng/7fUE0v-X_g8/s1600/IMG-20140816-WA0011.jpg)
Mama huyu akiteseka na mtoto mdogo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kyn7XenJyvg/U-8xducZ7II/AAAAAAAAVnY/nECKYq76ZDA/s1600/IMG-20140816-WA0012.jpg)
Abiria wakiwa nje ya basi
![](http://1.bp.blogspot.com/-XSLyKgaMrBk/U-8xeqEKYWI/AAAAAAAAVnk/1uX5lTP2XX8/s1600/IMG-20140816-WA0013.jpg)
Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JnDq9BgVkDc/U-8xfoHnvhI/AAAAAAAAVoI/59AIi7WFNl4/s1600/IMG-20140816-WA0015.jpg)
Hizi ndio namba za basi hilo.
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_HY1p7qXs/U-8xguIrxFI/AAAAAAAAVn4/12ngLYftJTE/s1600/IMG-20140816-WA0017.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_UyD7oB4Mw8/U-8xg5tIugI/AAAAAAAAVoA/YxnvryOEWXk/s1600/IMG-20140816-WA0018.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu