Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUMATRA mko wapi? Abiria hawa wameteseka zaidi ya masaa 6 bila msaada

Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6  abiria ambao walikuwa wanaelekea Mwanza na basi la Princes shabaha  wamezidi teseka  huku  hawajui hatima yao ya safari

 Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX  Wamekwama maeneo ya Kibamba jiji Dar es Salaam huku kina mama na watoto wakizidi teseka,

Mama huyu akiteseka na mtoto mdogo.

Abiria wakiwa nje ya basi

Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine.

IMG-20140816-WA0014

Hizi ndio namba za basi hilo.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ABIRIA WATESEKA ZAIDI YA SAA 6 BILA MSAADA‏ KIBAMBA, DAR

 Abiria waliokuwa wanaelekea mkoani Mwanza kutoka Dar na gari la Princes Shabaha jana walikwama kwa saa sita baada ya basi hilo lenye namba za usajili T105 AVX  kuharibika maeneo ya Kibamba jijini Dar es Salam na kusababisha usumbufu miongoni mwa abiria hao.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa dini mko wapi?

VIONGOZI wa dini mara zote wamekuwa mstari wa mbele kukemea chokochoko zote zenye viashiria vya kuvunja amani na mshikamano katika taifa letu. Tumewasikia viongozi hao kila mara wakiwakemea waumini wao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho ya wabunge Mfutakamba, Mabumba mko wapi?

NIANZE kwa kukushukuru wewe msomaji wangu kwa namna unavyonitia moyo katika makala zangu hizi. Ninajisikia faraja ninapopata mrejesho kutoka kwako. Nafurahi zaidi ninapopata mrejesho katika maeneo ya mbali kabisa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kabla ya hatari: Manispaa ya Singida mko wapi?

DSC04913

Jengo linalotumiwa na wafanyabiashara wa Tumbaku soko kuu mjini Singida,likiwa limechaa na kukosa sifa ya kutumiwa kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya wafanyabiashara hao pamoja na wateja wao. Pamoja na kuchakaa kwa kiwango kikubwa, lakini manispaa ya Singida inajipatia ushuru kutoka kwa wafanyabiashara wa Tumbaku ambao wamedai wameililia manispaa hiyo kuliboresha,lakini juhudi zao zimeshindwa kuzaa matunda.(Picha naNathaniel Limu).

DSC04917

 

9 years ago

Bongo Movies

Mko Wapi Waandishi wa ‘Script’, Nitanunua kwa Bei Yoyote-JB

Tasnia yetu ya filam inakabiliwa na changa moto mbalibali lakini kwangu mimi changa moto kubwa kuliko zote inayo ninyima usingizi ni waandishi wa miswaada(script).

Hili kwangu ndio tatizo kubwa kuliko yote, mfano natarajia kufanya filam yangu na King Majuto, tangu mwaka jana mwezi wa 8 mpaka leo kati ya script 10 nilizoletewa hakuna inayo faa.

Mko wapi waandishi? niko tayari kununua kwa bei yoyote.Lakini ukiniletea kituko tarajia ngumi kama malipo ya usumbufu, ndiyo maana tangu nitoe mzee...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Tabora kuelimisha abiria

“ABIRIA wengi nchini hasa mkoani Tabora, hawajui haki zao wanapokuwa safarini.” Hayo ni maneno ya Ofisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) Tabora,...

 

10 years ago

GPL

KISA TAMKO LA SUMATRA, ABIRIA WAKWAMA STENDI YA NYEGEZI MWANZA

Baadhi ya abiria wakiwa wamekwama kwenye Stendi Kuu ya Mabasi, Nyegezi jijini Mwanza leo. ...Abiria wakijaribu kutafuta suluhisho la usafiri baada ya mabasi kuchelewa kufika eneo hilo huku idadi ya wasafiri ikiwa kubwa.…

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANAYAKAZI WA UWANJA WA NDEGE SONGWE WACHELEWAJI KUFIKA KAZINI ABIRIA WALEO ALFAJIRI WASOTA KWA MASAA WAKIWASUBIRI WAFANYAKAZI HAO

Songwe international Reporting time 6.15am Basi la airport staff linafika 07.40 am likiwa na wafanyakazi hivi kweli ndiyo utaratibu wa kazi?Abiria wakiwa wameduwaa wala hawajui wa kumuuliza kuwa ndege ipo au la poleni sana abiria wa leo asubuhiFoleni ya mabegi hakuna wa kukagua kazi ipo jee huu ni uungwana? kuwasotesha Abiria namna hii?

 

10 years ago

Vijimambo

Angalia walichokutana nacho angani hawa abiria wa ndege

Abiria wa ndege, wakati wako angani maeneo ya jiji la San Francisco, California, walistaajabishwa kwa kukutana na chombo cha kwenda kwenye space kama mwezini n.k (spaceship) iliyokuwa imeambatanishwa kwenye Virgin Galactic’s White Knight, ndege maalum ya kukinyanyua chombo hicho mpaka kifikie mwinuko wa kukizinduaSpaceship hiyo (katikati) ikiwa imebebwa na ndege maalum ya kuisaidia kuzinduka kuelekea kwenye space

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani