SUMATRA mko wapi? Abiria hawa wameteseka zaidi ya masaa 6 bila msaada
Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6 abiria ambao walikuwa wanaelekea Mwanza na basi la Princes shabaha wamezidi teseka huku hawajui hatima yao ya safari
Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX Wamekwama maeneo ya Kibamba jiji Dar es Salaam huku kina mama na watoto wakizidi teseka,
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4fQwhTIxjA/U-8xdk-zF1I/AAAAAAAAVng/7fUE0v-X_g8/s1600/IMG-20140816-WA0011.jpg)
Mama huyu akiteseka na mtoto mdogo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kyn7XenJyvg/U-8xducZ7II/AAAAAAAAVnY/nECKYq76ZDA/s1600/IMG-20140816-WA0012.jpg)
Abiria wakiwa nje ya basi
![](http://1.bp.blogspot.com/-XSLyKgaMrBk/U-8xeqEKYWI/AAAAAAAAVnk/1uX5lTP2XX8/s1600/IMG-20140816-WA0013.jpg)
Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JnDq9BgVkDc/U-8xfoHnvhI/AAAAAAAAVoI/59AIi7WFNl4/s1600/IMG-20140816-WA0015.jpg)
Hizi ndio namba za basi hilo.
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_HY1p7qXs/U-8xguIrxFI/AAAAAAAAVn4/12ngLYftJTE/s1600/IMG-20140816-WA0017.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_UyD7oB4Mw8/U-8xg5tIugI/AAAAAAAAVoA/YxnvryOEWXk/s1600/IMG-20140816-WA0018.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-pSvVibmA0CY/U-8xdb0-0pI/AAAAAAAAVnU/EJBE8PKbOBE/s1600/IMG-20140816-WA0009.jpg)
ABIRIA WATESEKA ZAIDI YA SAA 6 BILA MSAADA KIBAMBA, DAR
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Viongozi wa dini mko wapi?
VIONGOZI wa dini mara zote wamekuwa mstari wa mbele kukemea chokochoko zote zenye viashiria vya kuvunja amani na mshikamano katika taifa letu. Tumewasikia viongozi hao kila mara wakiwakemea waumini wao...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Posho ya wabunge Mfutakamba, Mabumba mko wapi?
NIANZE kwa kukushukuru wewe msomaji wangu kwa namna unavyonitia moyo katika makala zangu hizi. Ninajisikia faraja ninapopata mrejesho kutoka kwako. Nafurahi zaidi ninapopata mrejesho katika maeneo ya mbali kabisa na...
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Tahadhari kabla ya hatari: Manispaa ya Singida mko wapi?
Jengo linalotumiwa na wafanyabiashara wa Tumbaku soko kuu mjini Singida,likiwa limechaa na kukosa sifa ya kutumiwa kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya wafanyabiashara hao pamoja na wateja wao. Pamoja na kuchakaa kwa kiwango kikubwa, lakini manispaa ya Singida inajipatia ushuru kutoka kwa wafanyabiashara wa Tumbaku ambao wamedai wameililia manispaa hiyo kuliboresha,lakini juhudi zao zimeshindwa kuzaa matunda.(Picha naNathaniel Limu).
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Mko Wapi Waandishi wa ‘Script’, Nitanunua kwa Bei Yoyote-JB
Tasnia yetu ya filam inakabiliwa na changa moto mbalibali lakini kwangu mimi changa moto kubwa kuliko zote inayo ninyima usingizi ni waandishi wa miswaada(script).
Hili kwangu ndio tatizo kubwa kuliko yote, mfano natarajia kufanya filam yangu na King Majuto, tangu mwaka jana mwezi wa 8 mpaka leo kati ya script 10 nilizoletewa hakuna inayo faa.
Mko wapi waandishi? niko tayari kununua kwa bei yoyote.Lakini ukiniletea kituko tarajia ngumi kama malipo ya usumbufu, ndiyo maana tangu nitoe mzee...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Sumatra Tabora kuelimisha abiria
“ABIRIA wengi nchini hasa mkoani Tabora, hawajui haki zao wanapokuwa safarini.” Hayo ni maneno ya Ofisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) Tabora,...
10 years ago
GPLKISA TAMKO LA SUMATRA, ABIRIA WAKWAMA STENDI YA NYEGEZI MWANZA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-iGGjqR9Ngeo/VLTTZKocV-I/AAAAAAAAyS4/z0m_H3XoQAs/s72-c/10342890_10153501536612971_2725750368417533822_n.jpg)
WAFANAYAKAZI WA UWANJA WA NDEGE SONGWE WACHELEWAJI KUFIKA KAZINI ABIRIA WALEO ALFAJIRI WASOTA KWA MASAA WAKIWASUBIRI WAFANYAKAZI HAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGGjqR9Ngeo/VLTTZKocV-I/AAAAAAAAyS4/z0m_H3XoQAs/s640/10342890_10153501536612971_2725750368417533822_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vT6Q8AiFHuI/VLTTaigEbfI/AAAAAAAAyTI/0rEn9AjXrtE/s640/10906033_10153501536512971_7923252858331797919_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C_blzpl0PRA/VLTTfqikY9I/AAAAAAAAyTQ/eYtD1IOfyR8/s640/10930912_10153501536687971_3684894397407205348_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uI9tKWBIvdA/default.jpg)
Angalia walichokutana nacho angani hawa abiria wa ndege
![](http://raha.mipasho.com/wp-content/uploads/sites/4/2014/10/virgin-galactic-spaceship-800x449.jpg)