Sumatra Tabora kuelimisha abiria
“ABIRIA wengi nchini hasa mkoani Tabora, hawajui haki zao wanapokuwa safarini.” Hayo ni maneno ya Ofisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) Tabora,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Apr
Wafanyakazi wa Deluxe watakiwa kuelimisha abiria
BAADA ya kufanyiwa uharibifu katika baadhi ya mabehewa ya treni mpya ya abiria (Deluxe), Kampuni ya Reli nchini (TRL) imewaagiza wafanyakazi na wahudumu wa treni hiyo kutoa elimu kwa abiria juu ya matumizi ya huduma mbalimbali zilizomo ndani ya treni hiyo ili kuepuka uharibifu.
10 years ago
GPLKISA TAMKO LA SUMATRA, ABIRIA WAKWAMA STENDI YA NYEGEZI MWANZA
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
SUMATRA mko wapi? Abiria hawa wameteseka zaidi ya masaa 6 bila msaada
![](http://1.bp.blogspot.com/-pSvVibmA0CY/U-8xdb0-0pI/AAAAAAAAVnU/EJBE8PKbOBE/s1600/IMG-20140816-WA0009.jpg)
Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6 abiria ambao walikuwa wanaelekea Mwanza na basi la Princes shabaha wamezidi teseka huku hawajui hatima yao ya safari
Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX Wamekwama maeneo ya Kibamba jiji Dar es Salaam huku kina mama na watoto wakizidi teseka,
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4fQwhTIxjA/U-8xdk-zF1I/AAAAAAAAVng/7fUE0v-X_g8/s1600/IMG-20140816-WA0011.jpg)
Mama huyu akiteseka na mtoto mdogo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kyn7XenJyvg/U-8xducZ7II/AAAAAAAAVnY/nECKYq76ZDA/s1600/IMG-20140816-WA0012.jpg)
Abiria wakiwa nje ya basi
![](http://1.bp.blogspot.com/-XSLyKgaMrBk/U-8xeqEKYWI/AAAAAAAAVnk/1uX5lTP2XX8/s1600/IMG-20140816-WA0013.jpg)
Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JnDq9BgVkDc/U-8xfoHnvhI/AAAAAAAAVoI/59AIi7WFNl4/s1600/IMG-20140816-WA0015.jpg)
Hizi ndio namba za basi hilo.
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_HY1p7qXs/U-8xguIrxFI/AAAAAAAAVn4/12ngLYftJTE/s1600/IMG-20140816-WA0017.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_UyD7oB4Mw8/U-8xg5tIugI/AAAAAAAAVoA/YxnvryOEWXk/s1600/IMG-20140816-WA0018.jpg)
10 years ago
MichuziChama Cha Kutetea Abiria (CHAKUA) YAITAKA SUMATRA KUSHUSHA NAULI KWA DALADALA NA MABASI YA MIKOANI
Na Chalila Kibuda.
Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) kimesema kuwa kutokana na bei ya mafuta kushuka nchini nauli ya daladala na nauli ya mabasi mikoani inatakiwa kushuka kwa asilimia...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA IBRALINE YATANGAZA NAULI MPYA KWA MABASI YAKE,ABIRIA SASA KULIPA NUSU BEI YA SUMATRA
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Moshi.
SIKU chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza punguzo la bei ya Mafuta Kampuni ya kutoa huduma ya usafirishaji wa ndani na nje ya nchi ya Ibraline imetangaza kushusha nauli kwa nusu ya bei elekezi ya SUMATRA.
Hatua hiyo inakuja wakati baadhi ya wananchi kulalamika kutokuwepo na ahueni yoyote licha ya kwamba serikali imetangaza kushusha bei ya bidhaa ya Mafuta...
10 years ago
Mwananchi28 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6o6J2-cSbJ0/XlK5odK6uFI/AAAAAAALe7w/Q2Z0S7v58W0iRwfjmMxuvi8__ThrKKcLgCLcBGAsYHQ/s72-c/5ce63347-27d7-4bfd-826d-80c592474e51.jpg)
Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora
![](https://1.bp.blogspot.com/-6o6J2-cSbJ0/XlK5odK6uFI/AAAAAAALe7w/Q2Z0S7v58W0iRwfjmMxuvi8__ThrKKcLgCLcBGAsYHQ/s640/5ce63347-27d7-4bfd-826d-80c592474e51.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-35.jpg)
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...