KAMPUNI YA IBRALINE YATANGAZA NAULI MPYA KWA MABASI YAKE,ABIRIA SASA KULIPA NUSU BEI YA SUMATRA
Mkurugenzi wa Kampuni ya Ibraline ,Ibrahim Shayo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Moshi.
SIKU chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza punguzo la bei ya Mafuta Kampuni ya kutoa huduma ya usafirishaji wa ndani na nje ya nchi ya Ibraline imetangaza kushusha nauli kwa nusu ya bei elekezi ya SUMATRA.
Hatua hiyo inakuja wakati baadhi ya wananchi kulalamika kutokuwepo na ahueni yoyote licha ya kwamba serikali imetangaza kushusha bei ya bidhaa ya Mafuta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziChama Cha Kutetea Abiria (CHAKUA) YAITAKA SUMATRA KUSHUSHA NAULI KWA DALADALA NA MABASI YA MIKOANI
Na Chalila Kibuda.
Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) kimesema kuwa kutokana na bei ya mafuta kushuka nchini nauli ya daladala na nauli ya mabasi mikoani inatakiwa kushuka kwa asilimia...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Sumatra yapiga faini mabasi kwa kupandisha nauli
10 years ago
VijimamboSUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI
10 years ago
Habarileo19 Feb
Nauli za mabasi hazitabadilishwa-Sumatra
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imeshikwa kigugumizi kuhusu suala la kushusha nauli ya magari ya abiria kwa kutoa sababu za kisheria pamoja na ukokotoaji wa tozo.
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Sumatra yakomaliwa ishushe nauli za mabasi
10 years ago
Habarileo30 Apr
Sumatra wasitisha nauli mpya kwa siku 14
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesitisha kwa siku 14 utozaji wa nauli mpya za mikoani zilizokuwa zianze leo baada ya kupata maombi ya rejea kutoka kwa wamiliki wa mabasi ya mikoani kutaka kuangaliwa upya nauli hizo zilizoshushwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5N6Pt9JoLvcvKUM6CxSDDTAESpgSdEJ7Sp-1SXsCc7IHUxCZMvadt88usUAb8gh4v7UAKTerewAB*7C5m9ZVE*O/7af2MOSHI.jpg)
SUMATRA YATANGAZA VIWANGO VIPYA VYA NAULI
10 years ago
MichuziSUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI YA MASAFA MAREFU
10 years ago
GPLMKURUGENZI SUMATRA ATOA TAMKO KUHUSU NAULI ZA MABASI NA DARADALA